finance bill

A Finance Act is the headline fiscal (budgetary) legislation enacted by the UK Parliament, containing multiple provisions as to taxes, duties, exemptions and reliefs at least once per year, and in particular setting out the principal tax rates for each fiscal year.

View More On Wikipedia.org
  1. Z

    Ruto: Wakenya wengi walioandamana hawajui yaliyomo kwenye Muswada wa Fedha

    Alipokuwa akihojiwa jana tarehe 30/6 na waandishi wa habari, Rais Ruto alisema japo amekubali kuondoa na kutokusaini Finance bill hiyo lakini anasikitika sana kwani bill hiyo ilikuwa na manufaa makubwa wa wakenya wote na ililenga kuikomboa kuingia kwenye madeni makubwa. Alisema kuwa Wakenya...
  2. J

    Sidhani kama Wabunge huwa wanaelewa maana ya Finance Bill, wangeelewa wasingekuwa wanasema hela zinatolewa na viongozi wa serikali

    Muswada wa Fedha(Finance Bill) ikishapitishwa na Bunge na kusainiwa na Rais wa JMT inakuwa Sheria. Kwahiyo kila Matumizi yatakayofanywa yanakuwa ni Kwa mujibu wa sheria na ndivyo ilivyokuwa hadi Mzee Kikwete anamaliza muda wake. Ilipoingia awamu ya 5 ndio tukaanza kusikia Wabunge wanamshukiru...
  3. chiembe

    Kwa utaratibu wa jumuia ya Afrika Mashariki, bajeti zote hupitishwa siku moja, nini athari ya Kenya kuondoa Finance Bill?

    Hili ni suala muhimu kwa sababu lazima katika baadhi ya mambo nchi zote zifanane katika sheria za kikodi
  4. Cute Wife

    Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni

    Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo. Rais Ruto...
  5. A

    Gen Z hii Finance bill mmechelewa, subirini mwakani

    Hii Finance bill inaenda kuwekwa saini mapema asubuhi. Wakati KDF wakiimarisha ulinzi. Jaribuni mwakani. Asanteni kwa kushiriki
  6. Replica

    Mbona hatuoni hata uchambuzi wa muswada wa fedha Tanzania achilia mbali kuugomea kama Kenya. Au tunasubiri kulia tukikutana na bei mpya

    Nchini Kenya muswada wa fedha ulizua balaa huku wachumi wakiuchambua kila kipengele na kuelezea athari zake kwenye uchumi wa Taifa na mwananchi mmojammoja. Huku kwetu wametuita Dodoma tena wametupa siku mbili, hamna anayeuongelea. Mwendo wa HS code kwenye muswada, wachumi wetu wako wapi...
  7. Erythrocyte

    Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

    Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea ======= Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na kutoka sehemu nyingine Tanzania wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo, Majid Mbwana...
  8. A

    Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

    1. Huko Kwa jirani pamoja na finance bill kupingwa Kwa maandamano kila kona Wabunge wameipitisha Kwa kishindo. 2. Muswada (finance bill 2024) unapelekwa kwenye Kamati, kisha uende Kwa Mhe. Dr Rais William S. Ruto 3. Tuna ya kujifunza hapa? --- Despite widespread protest in the country, the...
  9. chiembe

    Maandamano ya Kenya msingi wake ni ukabila na uroho wa madaraka wa Gachagua, vijana wanatumika tu, za kuambiwa!

    Kuna mtu anaweza kudhani maandamano ya Kenya ni sheria ya fedha (Finance Bill) hapana! Maandamano hayo yana sura ya ukabila wa wazi ambao Naibu Rais anaujenga kupitia watu wa mlima, kwa maana ya wakikuyu. Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa siku za karibuni amekuwa akiimarisha siasa za ukabila kwa...
  10. Stuxnet

    Maandamano ya Kenya Dhidi ya Finance Bill 2024, Watanzania Waitamani Kenya

    Siku 3 hizi ambapo maandamno ya vijana wa KENYA yameshamiri kupinga Finance Bill 2024, huku nchini kwetu kwenye social media nimeona kuwa Watanzania wanatamqni na sisi kwetu ingetokea kama Kenya. Sijui tuna upungufu gani wa maono ila mdharau pazuri, pabaya pana msubiri PIA SOMA - Nguvu ya...
  11. Informer

    Data Protection Act Amendment in the Finance Bill is classic “big brother”, illegal and must be rejected by the National Assembly and Kenyans

    Nairobi, 23 May 2024: Amnesty International Kenya and ARTICLE 19 Eastern Africa express deep concern with Clause 63 of the Finance Bill (2024), which seeks to exempt the Kenya Revenue Authority from the provisions of the Data Protection Act. We strongly urge the National Assembly to reject this...
Back
Top Bottom