finance bill 2024

The Kenya finance bill protests widely known by the hashtag #RejectFinanceBill2024 are series of ongoing decentralized mass protests in Kenya against the tax increase proposed by the Government of Kenya in Parliament. The protests aim to put pressure on lawmakers and members of the Kenyan Parliament to cancel the Kenya Finance Bill 2024. These demonstrations were primarily fueled by anger over the rising cost of living and growing taxes. Lawmakers are expected to meet on 25 June to vote on proposed changes to the bill.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Wabunge wamelipwa Posho Kujadili Bajeti halafu Finance Bill inakataliwa, Kwa Katiba ya Tanzania Bunge lingevunjwa!

    Huo ndio ukweli mchungu Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake Mlale Unono 😃😃
  2. Suley2019

    Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia

    Rais William Ruto Jumanne usiku alielezea uvunjaji wa bunge kama kitendo cha uhaini, na akaahidi kuchukua hatua kali dhidi ya waandaaji na wafadhili wa maandamano, ambayo yalikuwa yameingia siku ya tano. Rais Ruto alikuwa akihutubia taifa baada ya siku ya maandamano ambayo yalisababisha vifo...
  3. Replica

    Mbona hatuoni hata uchambuzi wa muswada wa fedha Tanzania achilia mbali kuugomea kama Kenya. Au tunasubiri kulia tukikutana na bei mpya

    Nchini Kenya muswada wa fedha ulizua balaa huku wachumi wakiuchambua kila kipengele na kuelezea athari zake kwenye uchumi wa Taifa na mwananchi mmojammoja. Huku kwetu wametuita Dodoma tena wametupa siku mbili, hamna anayeuongelea. Mwendo wa HS code kwenye muswada, wachumi wetu wako wapi...
  4. Cute Wife

    Mfanyabiashara asimama kidete dhidi ya Chalamila, tusije kusikia amechukuliwa na watu wasiyojulikana

    Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake. Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa. Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali...
  5. Erythrocyte

    Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

    Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea ======= Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na kutoka sehemu nyingine Tanzania wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo, Majid Mbwana...
  6. R

    Opinions and recommendations regarding The Finance Bill 2024

    In reviewing the Finance Bill 2024, published on June 18t, 2024, SARC Law Chambers would like to highlight our opinions and recommendations regarding certain proposed and non-proposed provisions within the Tax Revenue Appeals Act (CAP 408) and the Tax Administration Act (CAP 438). 1.0 Regarding...
Back
Top Bottom