The Kenya Finance Bill 2024 was a piece of legislation that proposed changes to the tax system of Kenya. It was first introduced in May 2024 and has been controversial, with some provisions facing public outcry. The proposal has sparked the Kenya Finance Bill protests and public opposition. On 25 June 2024, Parliament approved the bill despite the protests, meanwhile president William Ruto declined to sign the bill into law the following day.
Wakuu,
Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana.
Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa ajili ya safari, burudani, na malipo ya mishahara.
Kwa mujibu wa bajeti ya nyongeza...
Ukimya wake tangu maandamano ya Gen Z yalivyoanza uliibua maswali na mashaka mengi juu ya uwezo wake, weledi wake yeye na wa jeshi la polisi kwa ujumla, na kwa yeye kuendelea kuhudumu kwenye nafasi alikua nayo jeshini.
Polisi kuwapiga risasi hadi kufa waandamanaji wa Gen Z, kulitia dosari na...
Inadaiwa kuwa picha hii inamuonesha Mbunge wa Kaunti ya Tongaren Kenya, John Murumba Chikati akiwa amevamiwa na kushambuliwa na wananchi baada ya kupigia kura ya ndiyo Muswada mpya wa Sheria ya fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.