finance bill kenya

The Kenya Finance Bill 2024 was a piece of legislation that proposed changes to the tax system of Kenya. It was first introduced in May 2024 and has been controversial, with some provisions facing public outcry. The proposal has sparked the Kenya Finance Bill protests and public opposition. On 25 June 2024, Parliament approved the bill despite the protests, meanwhile president William Ruto declined to sign the bill into law the following day.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Ikulu pamoja na Ofisi ya Naibu Rais wa Kenya zapokea nyongeza ya Kshs Bilioni 5 (Tshs Bilioni 99) kwa ajili ya usafiri, burudani na mishahara

    Wakuu, Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana. Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa ajili ya safari, burudani, na malipo ya mishahara. Kwa mujibu wa bajeti ya nyongeza...
  2. data

    Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimemsikia Rais akikubali kushindwa

    Sijawahi sikia mahali popote pale Rais akikiri kufeli..kushindwa. Hii na zaidi ya Democracy. Ruto ana kitu. Tumpe muda. He simply conceded the defeat.
  3. Tlaatlaah

    Haingekuwa rahisi kwa IGP Kenya kuendelea kuhudumu kwenye nafasi yake huku Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi wamefutwa kazi

    Ukimya wake tangu maandamano ya Gen Z yalivyoanza uliibua maswali na mashaka mengi juu ya uwezo wake, weledi wake yeye na wa jeshi la polisi kwa ujumla, na kwa yeye kuendelea kuhudumu kwenye nafasi alikua nayo jeshini. Polisi kuwapiga risasi hadi kufa waandamanaji wa Gen Z, kulitia dosari na...
  4. elimsihi

    SI KWELI Mbunge wa Kaunti ya Tongaren, John Chikati ashambuliwa na waandamanaji kwenye Maandamano ya Gen Z Kenya

    Inadaiwa kuwa picha hii inamuonesha Mbunge wa Kaunti ya Tongaren Kenya, John Murumba Chikati akiwa amevamiwa na kushambuliwa na wananchi baada ya kupigia kura ya ndiyo Muswada mpya wa Sheria ya fedha.
  5. USSR

    Rais Ruto kuongea tena na wanahabari jioni ya leo, Juni 30, 2024 Ikulu ya Kenya

    Rais wa Kenya William Ruto leo jioni ataongea na wanahabri na kurusu maswali kadhaa maarufu kama round table. USSR.
  6. Mr Why

    Zifahamu sababu za Wakenya kuanzisha vurugu zinazodaiwa chanzo cha mvutano kati yao na raisi Ruto

    Hizi ndizo sababu za Wakenya kuanzisha vurugu inayoendelea hivi sasa.
Back
Top Bottom