foleni barabrani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    VIDEO: Hali ya usafiri usiku huu, foleni kutoka Tabata Relini hadi Barakuda, kuelekea Segerea

    Sio poa kabisa Wakuu, leo nimekiona cha Mtemakuni! Hali ya usafiri usiku huu inazidi kuwa ngumu kuanzia Tabata Relini, ambapo foleni ya magari ni ndefu hadi Barakuda.
  2. Pdidy

    Wale wa Ubungo, Kimara na Mbezi jiandaeni na foleni kuanzia Septemba 2, 2024

    Kwa wale mnaokaa huko mjipangee ujenzi unaoendeleea wameshauri wafunge upande mmoja. Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu. Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari mjini panda mwendokasi. Vijana wakiwa na nguo za njano reflector watakuwa pale kuwasaidia...
  3. Jamaa Fulani Mjuaji

    Viongozi waache kuzuia watumiaji wa barabara kwa starehe zao binafsi

    Hii tabia Imeota mizizi na inakera sana kisa kiongozi unazuia watumiaji wa barabara Kubwa mfano ya Mwanza kwenda Musoma, unazuia mabasi na magari yote yakusubiri utoke uliko na msafara unasubirisha magari zaidi ya masaa 2. Kama mnapenda kutumia barabara peke yenu tengenezeni lane za Kutumia...
Back
Top Bottom