foleni za dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N'yadikwa

    Watu wa magari binafsi jijini Dar amkeni mapema. Mnakera sana mida ya asubuhi

    Usiombe uwe unatokea Posta unakuja Bunju asubuhi kuanzia saa moja yaani magari binafsi yanaendeshwa hovyo (utadhani wahusika wamevuta msuba kidogo) lakini pia wanapita njia zote kana kwamba nyie mnaotokea mjini hamna haki ya kutumia barabara. Si muwe mnaamka mapema!? Mnakera kinoma!
Back
Top Bottom