force account

In physics, a force is an influence that can change the motion of an object. A force can cause an object with mass to change its velocity (e.g. moving from a state of rest), i.e., to accelerate. Force can also be described intuitively as a push or a pull. A force has both magnitude and direction, making it a vector quantity. It is measured in the SI unit of newton (N). Force is represented by the symbol F (formerly P).
The original form of Newton's second law states that the net force acting upon an object is equal to the rate at which its momentum changes with time. If the mass of the object is constant, this law implies that the acceleration of an object is directly proportional to the net force acting on the object, is in the direction of the net force, and is inversely proportional to the mass of the object.
Concepts related to force include: thrust, which increases the velocity of an object; drag, which decreases the velocity of an object; and torque, which produces changes in rotational speed of an object. In an extended body, each part usually applies forces on the adjacent parts; the distribution of such forces through the body is the internal mechanical stress. Such internal mechanical stresses cause no acceleration of that body as the forces balance one another. Pressure, the distribution of many small forces applied over an area of a body, is a simple type of stress that if unbalanced can cause the body to accelerate. Stress usually causes deformation of solid materials, or flow in fluids.

View More On Wikipedia.org
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Force Account: Darasa laporomoka Same, lajeruhi 30

    Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali. Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Twaha Mpembenwe: Force Account Idhibitiwe Katika Kutekeleza Miradi

    Mbunge Twaha Mpembenwe: Force Account Idhibitiwe Katika Kutekeleza Miradi WABUNGE wametilia shaka matumizi ya Force Account katika kutekeleza baadhi ya miradi ya Serikali. Wawakilishi hao wa wananchi wameonesha wasiwasi wao huo wakati wa mjadala wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu...
  3. chandeka marwa

    Je ni haki kwa mafundi ujenzi wanaojenga nyumba za serikali kwa force account kuzungushwa katika malipo yao??

    Mimi ni fundi ujenzi (majengo) katika wilaya X ninajenga na kufanya kazi za serikali kwa njia ya force account lakini ikifika swala la malipo ninazungushwa sana mara taarifa zinakuja eti kunamaboresho ya mfumo sasa yapata miezi mitatu tangu marekebisho yasemekane kwani hayaishi?? Maana...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Mhandisi Aisha Ulenge - Sipingi Matumizi ya Force Account Lakini Tusiifinyange Sheria ya Manunuzi ya Umma

    "Ibara (75) ya Matumizi ya rasilimali za ndani. Lengo la kupitia sheria ya Manunuzi ya Umma ni ili ziende kuboreshwa. Moja ya kitu ambacho kitakwenda kukinza utekelezaji wa sheria ya Manunuzi ya Umma ni pamoja na kutokufanya tathmini ya kina kwenye miradi iliyojengwa kwa fedha nyingi za Umma" -...
  5. M

    SoC03 Mchango mkubwa unaofanywa na mafundi ujenzi anayejenga majengo ya serikali kwa mfumo wa force account

    Mimi ni fundi ujenzi nimesomea chuo cha ufund Arusha, Mwaka 2018 nilipata kazi ya kitui cha afya umaliziaji wa jengo la mama na mtoto. Nilifanya kazi hiyo nikiwa kama fundi msaidiz kwani alishika tenda ni fundi mwingine tulikubaliana kuwa atanilipa tsh 15000 kwa siku hata hivyo kwa huku kijijin...
  6. Jidu La Mabambasi

    Force Account inataka kuua watoto!

    Force Account at village level! Watu nanafikiri kujenga choo hata cha shimo, kama nyumbani kwake, ni simple business. Wanafikiri ni kutandika vyuma na kumwaga zege, Fundi Maiko style. Sasa katika clip, hata malaymen kijijini hapo wametambua kuwa kitu kinajengwa kiholea na kinatishia maisha ya...
  7. Jidu La Mabambasi

    Force Account inawamaliza mabosi wa Serikali, Waziri Mkuu anashuhudia madudu ya kutisha

    Siye wajuvi wa masuala ya ujenzi tulionya na kuonya, tukaambiwa tunatetea ulaji wetu. Kuna wawakilishi wetu tuliwatuma hadi Bungeni kupinga Force Accout , lakini walibezwa kuwa makandarasi ni mafisadi wa fedhe za umma. Sasa kazi nyingi zilifanywa kwa spidi kubwa kwa kumtumia fundi Maiko. Madudu...
Back
Top Bottom