Katika kuendeleza hamasa ya matumizi ya kadi kwa wateja wake na Watanzania kwa ujumla, Benki ya CRDB imepanga kumzawadia mteja atakayekuwa na matumizi makubwa ya kazi zake za TemboCard Visa gari jipya aina ya Ford Ranger.
Sambamba na gari hilo jipya ambalo halijawahi kuendeshwa (kilomita...
Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
...
Pamoja na juhudi na nia njema za Serikali, kumekuwepo na makundi mbalimbali yanayopokea fedha kutoka nje ili kufitinisha Wamasai na wananchi dhidi ya serikali.
Mfano wa hili ni taasisi ya Mwanzo inayoongozwa na Maria Sarungi, ambayo imepokea zaidi ya dola za Kimarekani 400,000, sawa na zaidi...
https://www.youtube.com/watch?v=epWYJ_SY8uU
United States well I hope we do have a
0:57
young lady at some point become
1:00
president of the United States I can
1:06
tell you how I think it will happen
1:09
because it won't happen in the normal
1:16
course of events either the Republican
1:20...
Ford, wametoa Explorer EV ambayo ni SUV yenye siti 5.
Kwa kutumia MEB EV platformya Volkswagen, hii SUV ina uwezo wa kuchajiwa kutoka 10% hadi 80% kwa dakika 25 tu.
Kwa single charge, inaweza kutembea kilometa 600, na inapatikana kwa option ya either single motor RWD au motor mbili AWD...
Ndinga Hilo
Gari ipo vizuri sana
Gari ya mwaka 2022.
PRICE/BEI: 122M
EXCHANGE/NAVUNJA NA GARI YOYOTE✅
FORD RANGER STORM TRACK 🛻
Year:2022
Engine Capacity:2.0cc
Engine: DIESEL TURBO
Kilometer: 37055km
fuel range :988km full
Torque maximum500 Nm
Power maximum (detail)157 kW
Standard...
Marry Christmas to you all!!!
Ni ndugu yangu anahitaji ford tractor kuanzia namba 6000 na kuendelea iwe na four wheel drive.
mahali alipo ni mafinga,iringa lakini popote litakapopatikana atakuja.
Mawasiliano:0786595669/0759096558
Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake".
Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi.
SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA:
1. Double Cabin Pick Up
2. Limudu safari ndefu za mara...
Wakuu bukheri?
Namuombeni mpate kunijuza...Kuna ma Ford chakavu nimeyafuma pahala.
Nia yangu nataka yaleta nyumbani TZ.......Sasa hofu yangu ni hapo bandarini pamoja na watoza ushuru TRA ndio wananinyima RIZKI.
Kuna namna ya kupiga zurzunga au mazobanangai wataleta USHIRIKINA?
Msaada kwa wanaoifahamu, waliowahi kuendesha au hata kumiliki hii gari aina ya FORD EVEREST TITANIUM 2022.
Kuna rafiki yangu anataka kununua hiyo gari 0 km anaulizia;
1. Upatikanaji spea hapa Tanzania
2. Uvumilivu wa barabara za rafu, anakaa dar ila atakuwa anaenda makete mara kwa mara
3...
Mwigizaji Shamsa Ford amesema watu wamekuwa wakimpigia simu na kumtumia ujumbe kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kumwomba fedha.
Nyota huyo alisema kuna mtu aliomba amsaidie Sh milioni 22 akamalizie nyumba yake, akisema yeye hana fedha kwani anapambana na mikopo ili maisha yake...
Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu.
Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
Henry Ford ni raia wa Marekani na mwazilishi wa Ford Motors. Mr Ford ni mmoja wa wanzilishi wa viwanda vya kuunga assemble cars.
Ford T Model ilitoka karne ya 20, gari hii ilibadidisha kabisa usafiri hasa wa familia.
Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa.
Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine,
Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas.
Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.