ford

  1. B

    Benki ya CRDB kumtunuku mteja Ford Ranger, yazindua kadi za TemboCard

    Katika kuendeleza hamasa ya matumizi ya kadi kwa wateja wake na Watanzania kwa ujumla, Benki ya CRDB imepanga kumzawadia mteja atakayekuwa na matumizi makubwa ya kazi zake za TemboCard Visa gari jipya aina ya Ford Ranger. Sambamba na gari hilo jipya ambalo halijawahi kuendeshwa (kilomita...
  2. sonofobia

    Wapenzi wa perfume za Tom Ford. Ipi ni the best kati ya hizi?

    1. Black orchid 2. Ombre leather 3. Oud wood Leta opinions, Ipi ni the best kwa experience yako.
  3. comte

    FORD FOUNDATIONISM OF AFRICA

    Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020; Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao; Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z ...
  4. M

    Ushahi wa Mabilioni ya Ford kwa Maria Sarungi kuchochea migogoro.

    Pamoja na juhudi na nia njema za Serikali, kumekuwepo na makundi mbalimbali yanayopokea fedha kutoka nje ili kufitinisha Wamasai na wananchi dhidi ya serikali. Mfano wa hili ni taasisi ya Mwanzo inayoongozwa na Maria Sarungi, ambayo imepokea zaidi ya dola za Kimarekani 400,000, sawa na zaidi...
  5. comte

    Historia inaweza kutusaidia kuijua sasa na kesho- Rais Ford alitabiri ujio wa rais mwanamke

    https://www.youtube.com/watch?v=epWYJ_SY8uU United States well I hope we do have a 0:57 young lady at some point become 1:00 president of the United States I can 1:06 tell you how I think it will happen 1:09 because it won't happen in the normal 1:16 course of events either the Republican 1:20...
  6. Mad Max

    Wapenzi wa Magari ya Ford: Wametoa Explorer EV

    Ford, wametoa Explorer EV ambayo ni SUV yenye siti 5. Kwa kutumia MEB EV platformya Volkswagen, hii SUV ina uwezo wa kuchajiwa kutoka 10% hadi 80% kwa dakika 25 tu. Kwa single charge, inaweza kutembea kilometa 600, na inapatikana kwa option ya either single motor RWD au motor mbili AWD...
  7. Druggist

    Car4Sale Ford Ranger Pick Up AWD For Sale-Dodoma

    Ford Ranger ya 2007,Double Cabin,Milage 100K Inauzwa.Ilinunuliwa CMC Motors ikiwa na Milage 0 Km.Ipo Dodoma. Bei 17m. Mawasiliano-0786-258617
  8. Saad30

    Car4Sale Ford Ranger inauzwa, gari ya 2022

    Ndinga Hilo Gari ipo vizuri sana Gari ya mwaka 2022. PRICE/BEI: 122M EXCHANGE/NAVUNJA NA GARI YOYOTE✅ FORD RANGER STORM TRACK 🛻 Year:2022 Engine Capacity:2.0cc Engine: DIESEL TURBO Kilometer: 37055km fuel range :988km full Torque maximum500 Nm Power maximum (detail)157 kW Standard...
  9. K

    Tractor ford 6000 four wheel drive inahitajika

    Marry Christmas to you all!!! Ni ndugu yangu anahitaji ford tractor kuanzia namba 6000 na kuendelea iwe na four wheel drive. mahali alipo ni mafinga,iringa lakini popote litakapopatikana atakuja. Mawasiliano:0786595669/0759096558
  10. I

    Natafuta exhaust system complete ya Engine ya Ford Zetec 16v

    Wadau Natafuta exhaust system (complete ) ya Engine ya Ford Zetec 16V. Yeyote mwenye nayo tuwasiliane. Kupitia PM
  11. GoldDhahabu

    Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

    Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake". Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa Rukwa na Katavi. SIFA ZA GARI LINALOHITAJIKA: 1. Double Cabin Pick Up 2. Limudu safari ndefu za mara...
  12. nzalendo

    Ushauri..gari kukuu ford

    Wakuu bukheri? Namuombeni mpate kunijuza...Kuna ma Ford chakavu nimeyafuma pahala. Nia yangu nataka yaleta nyumbani TZ.......Sasa hofu yangu ni hapo bandarini pamoja na watoza ushuru TRA ndio wananinyima RIZKI. Kuna namna ya kupiga zurzunga au mazobanangai wataleta USHIRIKINA?
  13. profesawaaganojipya

    Ford Everest Titanium 2022

    Msaada kwa wanaoifahamu, waliowahi kuendesha au hata kumiliki hii gari aina ya FORD EVEREST TITANIUM 2022. Kuna rafiki yangu anataka kununua hiyo gari 0 km anaulizia; 1. Upatikanaji spea hapa Tanzania 2. Uvumilivu wa barabara za rafu, anakaa dar ila atakuwa anaenda makete mara kwa mara 3...
  14. BARD AI

    Shamsa Ford: Punguzeni kuniomba fedha

    Mwigizaji Shamsa Ford amesema watu wamekuwa wakimpigia simu na kumtumia ujumbe kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kumwomba fedha. Nyota huyo alisema kuna mtu aliomba amsaidie Sh milioni 22 akamalizie nyumba yake, akisema yeye hana fedha kwani anapambana na mikopo ili maisha yake...
  15. K

    Car4Sale Ford Ranger 4x4(D/Cabin) for sale -Arusha

    ✓FORD RANGER 4x4 for sale(Good Condition) ✓Year of manufacture 2015 ✓Price TSH.28,000,000/= ✓Serious Buyer Call/WhatsApp 0765894955. ✓Location ARUSHA Town
  16. Kamanda Asiyechoka

    Kwa miaka mitano kuanzia mwaka 2015 mali nyingi za Chadema yetu zimepotea. Tuunde tume kuchunguza zilipo mali zetu zikiwemo Ford Ranger za M4C

    Ofisi nyingi mikoani zimefungwa huku mali nyingi za chama zikiwa hazijulikani zilipo. Tuunde tume ili kujua mali za chama zilipo. Nyingi ya mali za chama zilipotea kuanzia mwaka 2015 baada ya uchaguzi mkuu. Sio kwamba watu hawaoni wanaona kabisa kuwa mali nyingi zimepotea hovyo hovyo.
  17. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hii gari inaitwa Ford consul model ya mwaka 1954 ni gari ambayo ilimilikiwa na Adam sapi mkwawa alikuwa spika wa bunge la Tanzania

    Remember
  18. Sky Eclat

    Henry Ford drives his first automobile, 1896

    Henry Ford ni raia wa Marekani na mwazilishi wa Ford Motors. Mr Ford ni mmoja wa wanzilishi wa viwanda vya kuunga assemble cars. Ford T Model ilitoka karne ya 20, gari hii ilibadidisha kabisa usafiri hasa wa familia.
  19. JituMirabaMinne

    Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
Back
Top Bottom