Form 6 leaver ,tuliwaambia ,mmefaulu Sana fanyeni maamuzi sahihi
Selection za mwaka huu, nadhani zimewapa SoMo kubwa Sana,kuwa na sifa sio kigezo Cha kuwa selected!
"Mlifaulu Sana" hata kwenda chuo hakuna DVC wa chuo ataacha Div one 3 achukue one pts 7,
Mliopata hongereni, ambao bado msikate...