form 6

In the education systems of England, Northern Ireland, Wales, and some other Commonwealth countries, sixth form represents the 2 years of post-GCSE academic education, where students (aged between 16 and 17 years of age by 31 August) prepare for their A-level (or equivalent) examinations. In England, Wales, and Northern Ireland, the term Key Stage 5 has the same meaning. It only refers to post-16 academic education and not to vocational education.

View More On Wikipedia.org
  1. Nasibu S.M form 6 Ndanda Sec alikuwa na changamoto gani?

    Waliokuwa naye hapa Ndanda tunaomba taarifa. Hiki kibali ni kizito sana
  2. Wanaomaliza form 6 kama private candidate kuna uwezekano wa kuchaguliwa kwenda JKT

    Kwema wana JF, Nataka kujua hivi waliomaliza form 6 kama private candidate kuna uwezekano wa kuchaguliwa kwenda JKT,au wanachukua wa shule za serikali tu?
  3. J

    Leo njoeni wa Form 6 hapa tusolve hili.

    Here are 25 math questions suitable for a Form 6 level: 1. Solve for \( x \): \( 2x + 3 = 11 \). 2. What is the area of a rectangle with length 8 cm and width 5 cm? 3. Simplify: \( \frac{12}{16} \). 4. Find the value of \( y \) in the equation \( 3y - 4 = 2y + 5 \). 5. What is the perimeter of...
  4. J

    Wahitimu wa Kidato cha 6, tuliwaambia, mmefaulu sana fanyeni maamuzi sahihi

    Form 6 leaver ,tuliwaambia ,mmefaulu Sana fanyeni maamuzi sahihi Selection za mwaka huu, nadhani zimewapa SoMo kubwa Sana,kuwa na sifa sio kigezo Cha kuwa selected! "Mlifaulu Sana" hata kwenda chuo hakuna DVC wa chuo ataacha Div one 3 achukue one pts 7, Mliopata hongereni, ambao bado msikate...
  5. F

    Ushauri wanafunzi mliomaliza form 6. Degree za sanaa /social science mkazisomee open university huku mnafanya mishe zingine.

    Habari wadau. Naona vijana waliomaliza form 6 mwaka huu 2023. Wana heka heka na admission za chuo zilizoanza kutoka. Ushauri wangu kwao watambue ajira zipo chache sana zama hizi kama sio hakuna. Ulimwengu huu watu wana ku value kwa kupima unachokijua ama kukifanya kwa uhalisia. Hawaku value...
  6. Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

    Ushauri wangu kwa vijana wa form 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya chuo kikuu. Tanzania ya sasa haihitaji Degree, zimeshakuwa nyingi sana mtaani mpaka copy za vyeti zinafungiwa vitumbua. Yaani degree ni luxury sio hitaji muhimu. Tanzania ama dunia ya sasa inahitaji stadi na...
  7. Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    Kuna siri nyuma ya pazia? Kuna watu wana jambo lao? Kama sio kwa nini Bible knowledge haipo? Kwa nini limekuja awamu ya 6? ===== Hii ni orodha ya masomo kwenye TAHASUSI za Tanzania Bara pamoja na Zanzibar, kwa Zanzibar wana masomo ya dini yanayoingia kwenye TAHASUSI tofauti na Tanzania Bara...
  8. C

    Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

    Habari zenu Wana JF, Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level. Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM...
  9. Ni sawa mwanafunzi kamaliza form 6 hajui hata kuandika "hello world" ila anategemea kusomea computer science / engineering kutamfanya awe nondo ?

    Maeneo ya kazini huwa kuna madogo wa chuoni hapa nafahamiana nao wakiniletea kazi za viti, vitanda, meza, n.k. Sasa mwezi uliopita kwenye pirika pirika za vyuo kufungua katika story za hapa na pale kuna madogo walikuwa wanapiga story za ku code, kuna mwenzao alikuwa kamaliza certificate kaingia...
  10. Kama huna "C" ya hesabu o-level na una ndoto za kusomea IT ni vema uende chuo ukimaliza form 4, Ukienda form 5 utakosa vigezo vya kusoma IT

    copy paste ila mawazo ya mdau nimeyakubali na nimeona niweke awareness yake humu Hivi karibuni baadhi ya vyuo vimeanza kukaza viwango vya ufaulu ili kuwachuja zaidi wanafunzi wanaotoka form 6 kuingia degree, katika moja ya vigezo walivyokaza ni kuhitaji aufaulu katika masomo ya hesabu ya form 6...
  11. NECTA yaonya udanganyifu mitihani ya kidato cha 6 inayoanza leo Mei 9, 2022

    Watahiniwa 95,955 wa kidato cha sita wanatarajiwa kuanza mitihani ya Taifa leo Mei 9, 2022 na wakitarajiwa kumaliza Mei 27, 2022 ambapo washiriki wanatoka katika shule za sekondari 841 na vituo vya kujitegemea 250. Kuelekea kuanza kwa mitihani hiyo, Katibu Mtendaji wa Baraza za Mitihani la...
  12. Form 4 mwenye ndoto za kusomea IT usipoteze mda wako kwenda form 6, nimekupa ramani nzima hapa

    π™π™Šπ™π™ˆ 4 π™ˆπ™’π™€π™‰π™”π™€ π™‰π˜Ώπ™Šπ™π™Š π™•π˜Ό π™†π™π™Žπ™Šπ™ˆπ™€π˜Ό 𝙄𝙏 π™π™Žπ™„π™‹π™Šπ™π™€π™•π™€ π™ˆπ˜Ώπ˜Ό π™’π˜Όπ™†π™Š π™†π™’π™€π™‰π˜Ώπ˜Ό π™π™Šπ™π™ˆ 6, π™‰π™„π™ˆπ™€π™†π™π˜Ύπ™ƒπ™Šπ™π™€π˜Ό π™π˜Όπ™ˆπ˜Όπ™‰π™„ π™‰π™•π™„π™ˆπ˜Ό π™ƒπ˜Όπ™‹π˜Ό Muhimu; Kama una changamoto za kiuchumi ni vyema ukasome form 6 kwenye shule ya serikali uliyochaguliwa ili umalize form 6 na ujaribu bahati yako kuomba mkopo wa serikali ili usome chuo, Post hii...
  13. R

    Kidato cha sita msichague kozi kwa mkumbo

    Moja ya jambo ambalo vijana wengi wanafanya wakiwa katika kuchagua course za kusomea chuoni ni kufata mkumbo na kuiga kile ambacho wenzao wamechagua. Wito wangu kwa form six wote waliomaliza sasa hivi, ni kuangalia kwa upana zaidi nini unataka katika maisha yako, usiende kusomea course ambayo...
  14. Naomba kujua vitabu vya combination ya PCM Form 5 na 6

    Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…