In the education systems of England, Northern Ireland, Wales, Jamaica and some other Commonwealth countries, sixth form represents the final two years of secondary education, ages 17 to 18. Pupils typically prepare for A-level or equivalent examinations like the IB or Pre-U. In England, Wales, and Northern Ireland, the term Key Stage 5 has the same meaning. It only refers to academic education and not to vocational education.
Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V.
Tunafanya home Teaching pia.
Tunapatikana TEGETA, Dar Es Salaam.
Mawasiliano: 0782044028(Whatsapp)
0625012562.
KARIBUNI SANA
Good Afternoon my dear brothers and sisters out there.
Eti wadau, tunaweza kufuta form six?? Mwanafunzi akianza form one, aende mpaka form five (Non stop) alafu chuo??
Yaani tunaua mitihani ya form four pamoja form six. Mtihani mkuu wa Secondary unakuwa mmoja tu wa form five.
Karibu kwa...
Ndugu zangu mwenye join instructions za kujiunga kidato cha tano shule ya sekondari MASONYA iliyopo RUVUMA anisaidie tafadhali. Nimetazama kwenye website ya wizara hakuna info yoyote.
with much thanks in advance
Hayawi hayawi, Sasa yamekua. Form Five Selections zimetoka tayari.
https://selform.tamisemi.go.tz//content/selection-and-allocation/2023/first-selection/index.html
Inashangaza mpaka sasa tukiwa tunauendea mwezi wa tano bado tu wakati inafahamika fika kuwa kunakuwa na gharama kibao.
Pamoja na kufuta ada, lakini kwa utitiri wa michango iliyopo advance mzazi itamgharimu si chini ya laki tatu (300,000/=) kuweza kumpeleka mtoto shule. Kiasi hiki ni kichekesho...
Wakuu,
Mtoto amechaguliwa third selection na TAMISEMI hao, ambayo nadhani imetoka mwezi huu
Je, mwisho wa kuripoti shule aliyopangiwa ni lini? Muda umeisha au bado nimpeleke?
Naomba kujua niandae hela ya private tu.
umofia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.