franc the great

The franc (; French: [fʁɑ̃]; sign: F or Fr), also commonly distinguished as the French franc (FF), was a currency of France. Between 1360 and 1641, it was the name of coins worth 1 livre tournois and it remained in common parlance as a term for this amount of money. It was reintroduced (in decimal form) in 1795. After two centuries of inflation, it was revalued in 1960, with each new franc (NF) being worth 100 old francs. The NF designation was continued for a few years before the currency returned to being simply the franc; some mostly older French continued to reference and value items in terms of the old franc (equivalent to the new centime) until the introduction of the euro in 1999 (for accounting purposes) and 2002 (for coins and banknotes). The French franc was a commonly held international reserve currency of reference in the 19th and 20th centuries.

View More On Wikipedia.org
  1. FRANC THE GREAT

    Raia wawili wa China wakamatwa wakipiga picha kambi ya jeshi la Marekani

    Shirika la upelelezi nchini Marekani, FBI liliwakamata raia wawili wa China mwishoni mwa juma kwa kosa la kupiga picha kinyume cha sheria kambi ya Jeshi la majini la Marekani huko Florida. Hili ni tukio la pili kufichuliwa na mamlaka hiyo, matukio ambayo yamekuwa yakitekelezwa na raia wa China...
  2. FRANC THE GREAT

    Kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi Marekani haitokuwa na haja ya kujibu mashambulizi

    Mara tu baada ya mashambulizi kutekelezwa katika kambi mbili za kijeshi zinazotumika na majeshi ya Marekani nchini Iraq, Rais wa Marekani, Donald Trump alikuwa alihutubie taifa la Marekani kwa mujibu wa taarifa rasmi lakini mara baada ya kikao maalumu na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya...
  3. FRANC THE GREAT

    Iran yatishia kuzishambulia kwa makombora kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati

    Jeshi la Iran limesema kuwa limejipanga kutumia makombora ya masafa ya kati na ya mbali kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati ikiwa ni mpango wa kulipa kisasi kutokana na mauaji ya jenerali wa kikosi maalum cha Iran, Qassem Suleiman aliyeuawa na Marekani wiki...
  4. FRANC THE GREAT

    Putin invites Merkel to Russia over Iran crisis

    The German Chancellor will travel to Russia to meet President Vladimir Putin this coming Saturday. The pair plan to discuss the Iran escalation as well as the conflicts in Ukraine, Libya and Syria. Russian President Vladimir Putin on Monday invited German Chancellor Angela Merkel to Russia...
Back
Top Bottom