fraseck mwakalenga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Katavi: Wafanyabiashara wamkataa Afisa wa TRA

    Wafanyabiashara wa soko la Majimoto katika Halmashauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumuondoa Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Majimoto, Fraseck Mwakalenga kwa madai ya kukusanya kodi kiholela ikiwemo matumizi ya lugha za kukera. Wakizungumza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…