fred

Fred Figglehorn (stylized on webpages as FЯED) is the central character in an Internet video series created by Lucas Cruikshank in 2006. Cruikshank, a teenager, created the Fred video series for his channel on the video-sharing website YouTube, to center on the Fred character. Although Cruikshank voiced Fred, the audio was digitally altered to sound higher-pitched than Cruikshank's true voice.

View More On Wikipedia.org
  1. Polisi wavamia nyumba ya Waziri wa Mambo ya Ndani Mstaafu, Fred Matiang'i

    Uvamizi huo ni utekelezaji wa agizo la kuchukua Vifaa vya CCTV kwaajili ya kufanyiwa uchunguzi kuhusu madai ya Matiang'i kuwa wiki iliyopita alivamiwa nyumbani kwake na kundi la Askari wasio na Vibali. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wa Kenya, Amin Mohamed...
  2. Fred Ngajiro vs Sheria Ngowi?

    Ifike mahali Watanzania tusitake kufananisha utam wa sukari na chumvi wala bei zake Namaanisha nini? SHERIA NGOWI anafahamika Kwa kila mtu kuwa ni mbunifu wa mavazi, Yes SHERIA kubuni mavazi ndio maisha yake, hivyo anachokifanya pale Yanga ni kuyaishi maisha yake na kuendeleza kipaji chake...
  3. PSG inataka kumsajili Fred kwa Tsh. Bilioni 84

    Taarifa za ndani zinaelezwa kuwa klabu hiyo ipo tayari kutoa Paundi Milioni 30 kwaajili ya kiungo huyo wa Manchester United. Paris Saint-Germain (PSG) imehusishwa na Mbrazili huyo licha ya kuwa amesaini nyongeza ya mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuicheza Man United. ============== PSG eye...
  4. Fred Saganda - Rafaeli (Lyrics)

    Ilikuwa Jumapili nikamwona Rafaeli amekaa juu ya nini?... Ni juu ya baiskeli Namuuliza anaenda wapi kanambia anaenda Ferry Huko Ferry ni kwa nani? Kwa lile jitu tapeli Sasa utamwona wapi? Atakuwa kwenye meli Kwenye meli ndiyo wapi? Ndiyo huko huko Ferry Baadaye namuona huyo huyo Rafaeli...
  5. Chadema walivaa jezi za Simba katika mkutano wa Baraza kuu? Fred Vunjabei, tifafanulie

    Inasemekana Fred Vunjabei alikuwa na stoku maalum ya jezi kwa ajili ya mashabiki maalum wa Simba, lakini hazikuuzika vizuri msimu huu, hivyo Chadema walienda kwenye magodown yake na kuomba wauziwe kwa Mali kauli, lakini mpaka Leo hawajalipa!
  6. M

    Wale mnaosubiria Matokeo ya leo ya Yanga SC na Geita Gold huku mkijua Kocha wao Msaidizi Fred Minziro ni Yanga SC lia lia poleni sana

    Kocha Fred Minziro huyu huyu ambaye wakati akifundisha Ruvu Shooting na kuna Kipindi alifundisha Mbao FC na kila alipocheza na Yanga SC alikuwa anapanga Kikosi dhaifu na akifungwa anacheka na Kufurahia na kama akiona kuna Mchezaji ana Usimba au anaibania sana Yanga SC hampangi au anamtoa haraka...
  7. B

    Haji Manara na fred Vunja Bei wanavyoathirika siasa za viwanjani Yanga na Simba

    Ipo siasa iliyopotea njia ndani ya nchi yetu. Ipo mikakati mfu yakiwekezaji isiyo na tija kwa Taifa letu. Wapo watu wanaamini kila Jambo lazima tuwe na viongozi wanaoongozwa na mfumo wa kisiasa. Wapo watu wanaishi vizuri kwa mwonekano wa nje lakini si kwa mwonekano wa ndani. Chama kinatafuta...
  8. Ujumbe tata wa Ney wa Mitego kwa Fred Vunjabei

    "Naomba Mumkumbushe Fred kua walikuwepo wauza nguo kama yeye walikuwa na hela kuliko yeye, walikuwa washamba wa mademu wa mjini kama yeye na wakafilisika na hawapo tena, so na yeye kwa ushamba huo huo wa mademu tutamsahau ni muda tu...
  9. Kocha Fred Minziro akanusha kuwa na tofauti na Karia, awashangaa wazushi

    Kocha wa timu ya Geita Gold, Fred Felix Minziro amewakanusha watu wote wanaosambaza video inayojaribu kuwashawishi washabiki waamini kwamba Rais wa TFF ana chuki naye na kwamba aliukwepa kwa makusudi mkono wake. Minziro amesema Karia ni rafiki yake mkubwa na wamekuwa wakizungumza mara kwa mara...
  10. Fred Vunja bei: Maduka yetu pekee ndio yanauza nguo original hapa Bongo

    Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei. Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje kwa wingi kwenye maduka yake maana hamna kitu fake vyote ni original. Anasema ukikuta nguo...
  11. Fred Vunja Bei na Hamisa Mobetto wadaiwa kumwagana; Fred amu-unfollow Mobetto Instagram

    Wanaodaiwa kuwa Wapenzi, Mwanamitindo na Mwingizaji, Hamisa Mobetto na Mfanyabiashara Fred "Vunja Bei" wanadaiwa kumwagana. Ikumbukwe kuwa Mobetto na Vunjabei hawajawahi kutangaza wazi wazi kuwa wapenzi zaidi ya kupostiana kwenye mitandao wakiitana shemeji na pia kuonekana sehemu kadhaa za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…