freddy

Freddy Krueger () is a fictional character and the primary antagonist in the A Nightmare on Elm Street film series. He was created by Wes Craven and made his debut in Craven's A Nightmare on Elm Street (1984) as the malevolent spirit of a child killer who had been burned to death by his victims' parents after evading prison. Krueger goes on to murder his victims in their dreams, causing their deaths in the real world as well. In the dream world, he is a powerful force and seemingly invulnerable. However, whenever Freddy is pulled back into the real world, he has normal human vulnerabilities and can be destroyed. He is commonly identified by his burned, disfigured face, dirty red-and-green-striped sweater and brown fedora, and trademark metal-clawed, brown leather, right hand glove. This glove was the product of Krueger's own imagination, having welded the blades himself before using it to murder many of his victims, both in the real and dream worlds. Over the course of the film series, Freddy has battled several reoccurring survivors including Nancy Thompson and Alice Johnson. The character was consistently portrayed by Robert Englund in the original film series as well as in the television spin-off Freddy's Nightmares. Englund has stated that he feels the character represents neglect, particularly that suffered by children. The character also more broadly represents subconscious fears.
The character quickly became a pop culture icon going on to appear in toy lines, comic books, books, sneakers, costumes, and video games since his debut. In 2003, Krueger appeared alongside fellow horror icon Jason Voorhees in Freddy vs. Jason. In 2010, a reboot of the film, starring Jackie Earle Haley, was released.
Wizard magazine rated Freddy the 14th-greatest villain of all time; the British television channel Sky2 listed him 8th, and the American Film Institute ranked him 40th on its "AFI's 100 Years...100 Heroes & Villains" list. In 2010, Freddy was nominated for the award for Best Villain (formerly Most Vile Villain) at the Scream Awards.

View More On Wikipedia.org
  1. Dan Zwangendaba

    Simba achaneni na Freddy Michael si Mchezaji wa Kuchezea Simba

    Yaani unamuacha MP unachukua garasa kama Freddy Michael kweli? Faida ni ndogo kuliko Hasara binafsi sijawahi kumkubali tangu aje. Ni wa kuachana naye haraka sana, hawezi kuwa mchezaji mzuri hata apewe miaka 100 maana nna wasiwasi kichwa chake hakipo sawa. Lakini pia waambieni wachezaji...
  2. jmushi1

    Simba yasajili forward Freddy Michael Kouablan kutoka Ivory Coast

    Simba Confirmed new Sign of Striker. Simba has strengthened its ranks by officially confirming the signing of a talented striker from the Green Eagles. This player has gained recognition for his incredible goal-scoring ability, characterized by powerful shots and good headers. His ability to...
  3. Scars

    Simba yatambulisha mshambuliaji mpya kutoka Ivory Coast Freddy Michael Kouablan

    Ametokea timu ya Green Eagles kwenye ligi ya Zambia. Kwenye mechi 16 kafunga magoli 14
  4. masopakyindi

    Rais Samia, Mbunge wetu Freddy Mwakibete kakosa nini?

    Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa! Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi. Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe. Tulianza kuona mwanga kuwa miradi...
  5. benzemah

    Rais Samia atembelea Maeneo yaliyoathirika na Kimbunga Freddy, Blantyre nchini Malawi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye eneo la Kapeni "view point" pamoja na Rais wa Malawi Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati walipokuwa wakiangalia maeneo hayo yaliyoathiriwa vibaya na kimbunga cha kitropiki cha Freddy, Blantyre nchini Malawi tarehe 7...
  6. JanguKamaJangu

    Malawi: Watu 537 waliopotea baada ya Kimbunga Freddy kutangazwa kuwa wamekufa

    Ripoti ya Polisi imeeleza watu wengi wamepotea kwenye matope baada ya Dhoruba ya kimbunga, licha ya kutumia mbwa katika msako wa kuwatafuta bado imekuwa ngumu, hivyo wanaamini inawezekana wamepoteza maisha. Ripoti imeeleza baada ya msako wa siku 17 bado imekuwa ngumu kufanikisha zoezi hilo na...
  7. BARD AI

    Malawi: Waliofariki kwa Mafuriko ya Kimbunga Freddy wazidi watu 400

    Idadi hiyo inajumuisha Vifo vilivyotokea tangu Kimbunga hicho kilipoingia Barani Afrika Februari 2023 ambapo watu 326 ni kutoka Malawi, 53 kutoka #Msumbiji na wengine 27 kutoka #Madagascar. Wizara ya Maliasili na Mabadiliko ya Hali ya Hewa imesema licha ya dhoruba kutoweka, bado Mvua kubwa...
  8. JanguKamaJangu

    Kimbunga Freddy chaua watu 109 Malawi na Msumbiji

    Idadi ya waliofariki upande wa #Malawi ni 99 na 10 kwa Msumbiji wakati 16 wakiwa hawajulikani walipo Nchini Malawi. Inaelezwa kutokana na mvua kubwa inayoambatana na upepo mkali zaidi ya nyumba 300 zimeathiriwa wakati idadi ya watu walioathiriwa na Kimbunga hicho ni 1,350 Kusini mwa Malawi...
  9. BARD AI

    Kimbunga Freddy chaua watu 15 Malawi

    Polisi nchini Malawi wamesema takriban watu 15 wamefariki na wengine 16 hawajulikani walipo kutokana na uharibifu uliosababishwa na dhoruba ya kitropiki Freddy. Pamoja na kukatika kwa mawasiliano bado haijulikani ukubwa kamili wa uharibifu na idadi ya waliojeruhiwa. Polisi wamesema watu...
  10. BARD AI

    Malawi yafunga Shule kukwepa Kimbunga Freddy

    Mamlaka ya elimu nchini Malawi imezifunga shule katika wilaya 10 kutokana na wasiwasi wa usalama baada ya Kimbunga Freddy kusababisha uharibifu katika nchi jirani ya Msumbiji. Kwa mujibu wa BBC, mvua kubwa inayonyesha kusini mwa Malawi imeharibu barabara na kusitisha uzalishaji wa umeme, huku...
  11. JanguKamaJangu

    Kimbunga Freddy chaendelea kusababisha athari Msumbiji

    Ndani ya wiki mbili Kimbunga Freddy kumesababisha madhara mbalimbali ikiwemo kusababisha kifo cha mtu mmoja kilichotokana na kuangukiwa na nyumba, kuharibu nyumba na kusababisha moja ya bandari kusitisha kutoa huduma huku zaidi ya watu 171,000 wakiathiriwa. Picha za satellite zinaonesha mvua...
  12. JanguKamaJangu

    Msumbiji hatarini kukumbwa na mafuriko makubwa kutokana na Kimbunga Freddy

    Kimbunga hicho ambacho kimetokea Kaskazini Magharibi mwa Australia zaidi ya siku 30 zilizopita kinaendelea na kina uwezekano wa kuweka rekodi ya kuwa kimbunga kilichodumu muda mrefu zaidi. Kwa sasa kimbuga hicho kipo Kusini mwa Msumbiji na Pwani ya Madagascar kikiwa na kasi ya kilometa 160 kwa...
  13. JanguKamaJangu

    Mauritius yasitisha safari za ndege wakati Kimbunga Freddy kikisogea

    Mauritius pia imefunga soko lake la hisa wakati upande wa pili Madagascar imeandaa timu za dharura kwa ajili ya mvua kubwa, mafuriko na maporomoko ya ardhi. Kimbunga Freddy kina upepo mkali unapenda kwa kasi ya mpaka kilomita 120 kwa saa, ambapo angalizo limetolewa kutokwenda maeneo ya baharini...
  14. Roving Journalist

    TMA: Tunafuatilia kuhusu Kimbunga Freddy, hakuna madhara kwa sasa

    Baada ya uwepo wa taarifa kuhusu Kimbunga Freddy kuwa kina uelekeo wa kwenda Pwani ya Afrika Mashariki, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema imejiridhisha hakuna madhara ya moja kwa moja katika maeneo ya Tanzania. TMA imesema itatoa taarifa punde kutakapokuwa na haja ya kufanya hivyo...
  15. JanguKamaJangu

    Kimbunga Kikali cha Freddy kinaelekea Afrika Mashariki

    Kimbunga ambacho kimesafiri zaidi ya maili 2,500 katika Bahari ya Hindi kina uwezekano wa kufika Ukanda. Kimbunga cha Tropiki Freddy kilifika katika Pwani ya Kusini ya Indonesia, mwezi huu Februari na kusababisha dhoruba kutokana na upepo mkali wa kasi ya 165 mph. Umoja wa Mataifa (UN) umesema...
Back
Top Bottom