freedom of speech

Freedom of speech is a principle that supports the freedom of an individual or a community to articulate their opinions and ideas without fear of retaliation, censorship, or legal sanction. The right to freedom of expression has been recognised as a human right in the Universal Declaration of Human Rights and international human rights law by the United Nations. Many countries have constitutional law that protects free speech. Terms like free speech, freedom of speech, and freedom of expression are used interchangeably in political discourse. However, in a legal sense, the freedom of expression includes any activity of seeking, receiving, and imparting information or ideas, regardless of the medium used.
Article 19 of the UDHR states that "everyone shall have the right to hold opinions without interference" and "everyone shall have the right to freedom of expression; this right shall include freedom to seek, receive, and impart information and ideas of all kinds, regardless of frontiers, either orally, in writing or in print, in the form of art, or through any other media of his choice". The version of Article 19 in the ICCPR later amends this by stating that the exercise of these rights carries "special duties and responsibilities" and may "therefore be subject to certain restrictions" when necessary "[f]or respect of the rights or reputation of others" or "[f]or the protection of national security or of public order (order public), or of public health or morals".Freedom of speech and expression, therefore, may not be recognized as being absolute, and common limitations or boundaries to freedom of speech relate to libel, slander, obscenity, pornography, sedition, incitement, fighting words, hate speech, classified information, copyright violation, trade secrets, food labeling, non-disclosure agreements, the right to privacy, dignity, the right to be forgotten, public security, and perjury. Justifications for such include the harm principle, proposed by John Stuart Mill in On Liberty, which suggests that "the only purpose for which power can be rightfully exercised over any member of a civilized community, against his will, is to prevent harm to others".The idea of the "offense principle" is also used to justify speech limitations, describing the restriction on forms of expression deemed offensive to society, considering factors such as extent, duration, motives of the speaker, and ease with which it could be avoided. With the evolution of the digital age, application of freedom of speech becomes more controversial as new means of communication and restrictions arise, for example, the Golden Shield Project, an initiative by Chinese government's Ministry of Public Security that filters potentially unfavourable data from foreign countries.
The Human Rights Measurement Initiative measures the right to opinion and expression for countries around the world, using a survey of in-country human rights experts.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    Mtandao kusuasua siku mbili hizi ni njama ya kuzuia kampeni ya Tone Tone kuichangia CHADEMA?

    Salaam Wakuu, Toka kampeni ya Tone Tone izinduliwe kumekwa na changamoto ya mtandao ambao haieleweki eleweki. Wakati wameshazindua na wakawa wanaitana mbele kila mmoja kuhamasisha watu wake, commentszilikuwa zinapita chini baadhi wakisema miamala inakataliwa, mara inakaa pending muda mrefu...
  2. Cute Wife

    Mtandao umekuwa wa kimagumashi mpaka utumie VPN kuna nini?

    Wakuu, Aisee sasa hivi mtandao unakuwa slow sana au hamna kinachofanyika kabisaaa mpaka uwashe VPN, kunani? Wameanza kutest mitambo kutokana na vuguvugu la uchaguzi ama? Nilizima VPN, kuingia hivyo hivyo hamna kitu kinafanyika mpaka nimewasha tena. Hii ni kwa mtandao wa Yass.. kuna...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Vyombo vya Habari havitendi haki kwa Vyama vya upinzani, vyote vinakuwa vya CCM

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Tundu Lissu akizungumza wakati wa mkutano kati ya CHADEMA na Jukwaa la Wahariri (TEF) amesema Vyombo vya Habari vyote nchini havitendi haki katika kuripoti masula ya Uchaguzi kwa vyama vikuu vya upinzani. Soma: Hali ya Vyombo vya...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?

    Wakuu, Kama mnavyojua tumetoka kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa tunauchungulia Uchaguzi Mkuu pale Oktoba 2025. Tumeshuhudia karibia na uchaguzi wa serikali hali ya media ilivyokuwa, Mwananchi walishika 'sharubu' wakapumzishwa kwa mwezi wale urojo kidogo, jambo nao walikuwa...
  5. Erythrocyte

    Tundu Lissu aitaka Serikali ya Kenya Kuingilia kati kutekwa kwa Maria Sarungi

    Taarifa yake iliyonukuliwa na Vyombo vya Habari hii hapa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu ameitaka Serikali ya Kenya kuingilia kati katika madai ya kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi. Taarifa za kutekwa kwa Maria zimesambaa leo Jumapili...
  6. Cute Wife

    Pre GE2025 Musiba alihoji Sarungi na Kabendera wangekuwa Rwanda au Uganda wangeachwa waichafue serikali? Maneno yake yamefanyiwa kazi?

    Wakuu, Katika mahojiano aliyofanya siku tano zilizopita Musiba alisema kuna vikundi ambavyo angependa kuishauri serikali ya Tanzania kwa jicho la tatu, kwani si wema na wameanza harakati za kuchafua na kuharibu taswira ya nchi yetu, ambapo kuna makachero wanaoshirikiana nao ili kukamilisha...
  7. Suley2019

    Muuza Viatu aswekwa rumande kwa 'kumdhalilisha' Museveni na Muhoozi

    Muuzaji wa viatu vya mitumba mwenye umri wa miaka 27, Bw. Juma Musuuza maarufu kama Madubarah, amekuwa TikToker wa tano wa Uganda kuwekwa rumande na Hakimu Mkuu wa Entebbe, Stella Maris Amabilis, ndani ya kipindi cha chini ya wiki moja, akituhumiwa kwa hotuba ya chuki na kusambaza taarifa za...
  8. Cute Wife

    Vodacom yaomba radhi kutokana na changamoto ya mtandao inayoendelea, wanashughulikia kumaliza tatizo

    Wakuu, ==== TAARIFA KWA UMMA Septemba 28, 2024Mpendwa Mteja, Tunaomba radhi kwa changamoto za mtandao kwa sasa inayosababisha wateja wengi kushindwa kupata huduma. Timu yetu ya wahandisi inajitahidi kusuluhisha kwa haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashukuru kwa uvumilivu...
  9. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama

    Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi...
  10. mwanamwana

    Pre GE2025 Rais Samia: Hakuna Uhuru wa Habari usio mipaka yake

    Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo". Amemtaka Waziri...
  11. Cute Wife

    Ahukumiwa jela miaka 6 kwa kumtukana Rais Museveni

    Mahakama moja iliyopo Entebbe Nchini Uganda imemuhukumu kifungo cha miaka sita jela TikToker mwenye umri wa miaka 24, Edward Awebwa baada ya Kijana huyo kuchapisha video fupi kwenye akaunti yake ya TikTok akimtusi na kumkashfu Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Mke wa Rais, Janet Museveni, na Mtoto...
  12. Suley2019

    Shadrack Chaula, aliyechoma picha ya Rais Samia aachiwa kutoka Gerezani

    Hatimaye kijana Shadrack Yusuph Chaula (24) mkazi wa kijiji cha Ntokela kata ya Ndanto Tukuyu wilayani Rungwe, ameachiwa huru kutoka mikononi mwa jeshi la magereza baada ya kufanikiwa kulipa faini ya shilingi million tano kutokana na hatia aliyokutwa nayo ya udanganyifu juma lililopita. Kijana...
  13. Cute Wife

    Mwabukusi: Kamati ya Nidhamu ilinihukumu sababu ya kukosoa viongozi wa juu wa serikali, hakuna aliye juu ya Sheria na Katiba

    Mwabukusi anasema aliadhibiwa kwa kwenda kinyume na maadili sababu ya kuwakosoa viongozi wa juu kwenye mkataba wa DP World, kuwa mkataba unaoiba rasilimali za tanganyika kiyume cha sheria. Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kamati kufafanya maamuzi ya...
  14. Kamanda Asiyechoka

    Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

    Kijana Shadrack Chaula (24) mkazi wa Kijiji cha Ntokela, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya amehukumiwa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili jela akishindwa kuilipa faini hiyo kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni. Hukumu hiyo imetolewa leo Alhamisi Julai 4...
  15. Erythrocyte

    Tido Mhando: Awamu ya Hayati Magufuli imechangia 'Comedy Journalism'

    Hii ni miongoni mwa Kauli alizotoa Mwenyekiti wa Kamati ya kuchunguza Dhiki au Matatizo ya uchumi yanavyovikabili vyombo vya habari nchini Tanzania , Tido Muhando. Mhando ameyasema hayo alipotoa hotuba yake kwenye kongamano la Maendeleo ya sekta ya habari linaloendelea Dar es Salaam Ni nini...
  16. Bams

    Pre GE2025 Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

    Nchi yetu imejaa watu wanafiki, ama wanaotafuta sifa za kijinga au wanaoishi kwa hadaa. Wanaotamka 1 lakini wanamaanisha 5. Hivi karibuni kumeibuka kelele za kinafiki toka kwa baadhi ya wanafiki kuwa mtandao wa X (zamani Twitter) ufungiwe eti unahamasisha ushoga. Ukiwauliza umehamasisha wapi...
  17. Miss Zomboko

    Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa kupata Taarifa

    Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Kupata Taarifani siku inayotumiwa kutambua na kusisitiza umuhimu wa haki ya umma kupata habari na taarifa kutoka kwa serikali na taasisi zingine Inaadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Septemba na inalenga kuhamasisha uwazi, uwajibikaji, na uwazi katika serikali na...
  18. BIG STONE AND CONER STONE

    No Real Freedom of speech

    Bila kuchoshana huwa napenda, Utani, masihara na kupima uelewa wa watu kwa undani zaidi. JF Haina freedom of speech tunaongopeana tu...Maana nilipost Uzi hapa unaitwa KIVURUGE, hauna luga' isyo na staha, haitafuti mchumba kweli' Ila wakaondoa hataka haraka. Hamna Neno hata moja lislo na staha...
  19. BARD AI

    Zimbabwe: Serikali yapitisha sheria ya kuwaadhibu 'wasio wazalendo' kwa nchi

    Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa imeidhinisha sheria iliyolalamikiwa kuwa inalenga kuwanyamazisha wakosoaji wake na kuwabana wanaoshawishi mataifa ya nje kuiwekea vikwazo Serikali yake. Pia, Sheria hiyo iliyopewa jina la Sheria ya Uzalendo, imeharamisha raia wasioidhinishwa kufanya...
  20. Decree Holder

    Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

    Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi. Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Back
Top Bottom