Ushawahi kusikia watu wanaolipwa kwa kutazama na kureview maudhui ya mtandaoni? Ushawahi kutamani kupata kazi ya aina hiyo?. Je vipi kuhusu faida na hasara zake? shuka nayo
Mapema mwishoni mwa mwaka jana nilipata kazi kwenye moja ya jukwaa la freelancing ninalolitumia kwa kipindi kirefu.Wakati...