FRELIMO (Portuguese pronunciation: [fɾɛˈlimu]; from the Portuguese Frente de Libertação de Moçambique, lit. 'Liberation Front of Mozambique') is a democratic socialist political party in Mozambique. It is the dominant party in Mozambique and has won a majority of the seats in the Assembly of the Republic in every election since the country's first multi-party election in 1994.
Founded in 1962, FRELIMO began as a nationalist movement fighting for the self-determination and independence of Mozambique from Portuguese colonial rule. During its anti-colonial struggle, FRELIMO managed to maintain friendly relations with both the Soviet Union and China, and received military and economic assistance from both Moscow and Beijing. Independence was achieved in June 1975 after the Carnation Revolution in Lisbon the previous year. It formally became a political party during its 3rd Party Congress in February 1977, and adopted Marxism–Leninism as its official ideology and FRELIMO Party (Partido FRELIMO) as its official name.
FRELIMO has ruled Mozambique since then, initially as the sole legal party in a one-party system and later as the democratically elected government in a multi-party system. FRELIMO fought a protracted civil war from 1976 to 1992 against the anti-communist Mozambican National Resistance or RENAMO. RENAMO received support from the then white minority governments of Rhodesia and South Africa. FRELIMO approved a new national constitution in 1990, which ended one-party rule and established a multi-party system.
Hakuna marefu yasiyo na ncha.Huu ni msemo wetu wa kiswahili ambao una maana pana sana.
Siasa za kusini mwa jangwa la Sahara zimeanza kuchukua njia ya tofauti kabisa siku za karibuni. Vyama vilivyopigania uhuru kwenye nchi za kusini mwa Afrika vimeanza kukabiliana na vuguvugu la mageuzi...
1962 mondlane aliasisi chama Kikongwe kwa ajili ya kuikomboa msumbiji kutoka kwenye makucha ya wareno !kutoka na Hali ya msumbiji nyakati hizo iliwalazimu frelimo kuweka makao yake makuu jijini dar es salaam! Mapambano makali wakisaidiwa na serikali ya Tanzania chini ya jemedari hayati mwalimu...
Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Aman iwe kwenu watumishi wa mfalme mkuu aliyetuumba na vyote vilivyomo naye ni MWEMA sana ni MWAMINIFU sana
Nimekuwa ni mfatiliaji sana wa maandamano pale msumbiji lakin kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza sana ni juu wa waandamanaji
Waandamanaji ambao nimewaona ni kuanzia watoto, wanawake...
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane...
Wananchi wanaodaiwa kutokubaliana na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu katika maeneo ya Lalalua na Nampula wamechoma Moto Kituo cha Polisi cha Moma ikiwa ni mwendelezo wa Maandamano ya kupinga matokeo hayo
Imeelezwa kuwa Wananchi hao walichukua Silaha aina ya AK 47 na kuchoma majengo mengine zaidi...
Chama tawala cha Msumbiji, Frelimo, kimeendelea kushikilia madaraka katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi huu, na kuongeza utawala wake wa miongo mitano katika taifa hilo la Kusini mwa Afrika, huku upinzani ukilalamikia udanganyifu.
Daniel Chapo, mwenye umri wa miaka 47, kutoka Frelimo...
Huko Msumbiji wanatarajia kufanya uchaguzi Mkuu tarehe 09 Oktoba 2024. Huku Mgombea wa FRELIMO Komredi Daniel Chapo (47) akitarajia kushinda kwa kishindo. Maana huko Msumbiji Upinzaji upo taabani kama tu hapo Tanganyika. FRELIMO bado ina nguvu sana kama CCM.
# Waangalizi wa kimataifa wakiwemo...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kufanya mazungumzo na mgombea Urais wa Msumbiji Kupitia FRELIMO Mheshimiwa Danieli Fransisco Chapo,Ikulu ya Dodoma hii leo June 12.
Hii ni katika kuonyesha ushawishi wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la 12 la Chama cha FRELIMO katika Ukumbi wa FRELIMO - Eneo la Matola nchini Msumbiji leo tarehe 23 Septemba, 2022.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.