fujo uwanja wa mkapa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

    Wakuu CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC == Timu ya Simba Sports Club imeamriwa kucheza mchezo mmoja bila mashabiki na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufuatia vurugu zilizotokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi dhidi ya CS Sfaxien. Adhabu hiyo itaathiri mchezo wao wa nyumbani...
  2. Mdakuzi

    CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa adhabu kwa klabu ya soka ya Sfaxien kufuatia vurugu zilizoibuka baada ya mchezo dhidi ya Simba. Pia, wameadhibiwa kwa kitendo cha mashabiki wao kutupa mafataki uwanjani kwenye mchezo dhidi ya Cs Constantine. Hivyo, watacheza mechi mbili za nyumbani bila...
  3. C

    Waliong'oa viti Kwa Mkapa wanapaswa kufungwa gereza la kilimo wakazalishe mpunga miaka mitatu

    Hii nchi kuna makosa huwa mnafunga watu miaka mingi lakini ni ya kawaida sana. Kosa la kung'oa viti ni kosa la uhujumu uchumi. Hao ndio watu wasiojali kuharibu hata miundo mbinu mingine ya serikali kama alama na taa za barabarani. Serikali haitakiwi kucheka na nyani.Wafungwe gerezani na kazi...
  4. Waufukweni

    Mkanganyiko wa matamko (Wizara na Polisi) kuhusu kung’olewa viti na fujo za Uwanja wa Mkapa

    Wakuu, Fujo zilizoibuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba SC na CS Sfaxien zimeibua mkanganyiko kuhusu uwajibikaji. Jeshi la Polisi lilibainisha kuwa mashabiki wa CS Sfaxien walihusika moja kwa moja kung’oa viti 256 na kuanzisha vurugu baada...
Back
Top Bottom