Katika taswira ya kisanii iliyoibua hisia kali mitandaoni, chama cha CHADEMA kimeonyeshwa kama meli kubwa iliyokwama jangwani, ikiwa imebeba mizigo mizito inayotajwa kuwa ajenda za ushoga na ufadhili kutoka kwa mataifa ya Magharibi. Meli hiyo, iliyopewa jina "MV. Chad Hema," inaonekana kugubikwa...