fumanizi katika ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    Mke wangu kaniona nikiwa namshika Muhudumu wa Baa, nasuluisha vipi hii kesi?

    Mambo vipi wakubwa. Ebana tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie wakawa wanakunywa soda. Basi me nikaenda kutoa lock pale kwa ile bar,mara ghafla yule mhudumu nae akaanza kucheza mziki huku...
  2. T

    Nimemfumania mke wangu na mwanaume mwingine, nimemwambia arudi nyumbani amekataa. Nifanyeje?

    Nimemfumania MKE wangu na mwanaume mwingine, nimemsamehe lakini hataki kurudi! Mimi ni kijana wa miaka 40, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 15 sasa. Wakati nakutana na huyu mke wangu, wote tulikuwa bado wadogo na ndiyo tumemaliza chuo. Ni mtu ambaye tumekua pamoja, na kila kitu kilikuwa vizuri...
  3. Makonde plateu

    Mke wangu amenifuma chumbani kwa dada wa kazi

    Aisee! Nimeaibika wakuu mke wangu amenifuma nikiwa nimelala kwenye chumba cha dada wa kazi nikiwa naked tu ila sasa wife nimemuambia mimi nilikuwa chumba dada wa kazi nikijipumzisha tu na dada wa kazi alikuwa ananifundisha kilugha cha cha kabila moja la kanda ya ziwa lakini wife haniamini...
Back
Top Bottom