funga

  1. She (Bi. Kasinde) Close her 2021 Awaiting 2022 New Life....

    Kabla usiku haujawa mnene.... Mwaka 2021 unaisha kwa namna yake kwa upande wa Bi Kasinde. Kuna jambo limenibidi/limenifanya nifanye maamuzi manene/mazito yenye/yasiyo na mashiko..... Mlango wa Mahaba umefungwa rasmi! Ndio chemchem ya Mahaba imekufa ndani ya Bi Kasinde. Ilinipasa nipite PM...
  2. K

    Rais Samia, funga mwaka iliyofanywa Serikalini ni balaa

    Mhe Rais nadhani huu Ni muda sahihi wakujua ni mteule yupi uliyemteua anaishi fikra zako na yupi anaishi fikra za tumbo lake na familia yake. Watumishi wachache wa Umma wamegawana kumbi za Serikali na hoteli kwa vikao ambavyo sidhani Kama vina tija. Mhe. Wazir Mkuu alitumbua watendaji wa wizara...
  3. K

    Waziri Mkuu, taarifa zinadai idara na Wizara nyingi zinafunga mwaka na wakubwa wanagawana fedha za funga mwaka

    Mhe. Waziri Mkuu tunalojukumu lakukushirikisha wasemavyo Watumishi wa umma hasa waliopo wizarani na kwenye Idara za serikali, naamini ninachokiandika hapa unakifahamu ila najaribu kukirudia ukiweke kwenye mpango kazi wako. Nianze kukupongeza kwa kazi kubwa uliyofanya Wizara ya fedha, hongera...
  4. Funga Juma: Masufuria ya Nyama: Siyo Wote Walioondoka Misri Walitoka Misri...

    Na. M. M. Mwanakijiji Mojawapo ya masimulizi ya kiimani ambayo yalinivutia sana tangu zamani ni safari ya wana wa Israeli kutoka Misri kwenda nchi ya ahadi wakiongozwa na Nabii Musa. Simulizi hili nimelisoma mara nyingi na kila ninapolisoma Napata mafunzo mapya. Hata hivyo mojawapo ya mafunzo...
  5. M

    Tafadhali hizi Kanzu Nyeupe nyingi Mitaani leo zifanye hata Roho zetu ziwe Nyeupe kwa Mungu hadi Funga ijayo 2022

    Ni matumaini yangu makubwa Krav Maga hivi ninavyopishana na Kanzu nyingi nyeupe Mitaani leo basi hata Wahusika nae kwa Miezi 11 ijayo nao Roho zao zitakuwa Nyeupe hivyo hivyo. Ushauri wa bure wengine ambao huwa hampendi Kuvaa Kanzu au hamjazoea Kuzivaa basi muanze Kuchukua Mazoezi taratibu ya...
  6. Somo : Ukipika Chakula Mchana wa Ramadhan unaruhusiwa kuonja lakini usikimeze , baada ya kuonja tema na funga yako itakuwa halali

    Asalam Aleykhum , huu hapa ujumbe kamili .
  7. Kheri na baraka za funga ya swaumu ya mwezi wa ramadhan 2021

    Kwa mujibu wa Mamlaka ya serikali ya Mfalme wa Saudi Arabia waislamu wa Saudi Arabia na nchi zinazofuata mwezi wa kimataifa wataanza kufunga swaumu kuanzia kesho tarehe 13/04/2021. Kwa mujibu wa mufti wa Tanzania, waislamu wataanza kufunga tarehe 14/04/2021. Nachukua fursa hii kuwatakia mfungo...
  8. Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

    Nilifungiwa akaunti zote za bank za kampuni yangu. Nikafungiwa akaunti zote za biashara. Hata akaunti yangu binafsi ya mshahara wa ubunge ilifungwa toka mwaka 2018, nikazuiwa kupokea mshahara ambao ni haki yangu kisheria" Mhe.Freeman Mbowe akizungumza na wanahabari. My Take: Natengua msamaha...
  9. Yaliyojiri Zanzibar kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

    Watu tayari wameshaanza kufurika Uwanja wa Amani Zanzibar. ==== MWILI WA HAYATI DKT. MAGUFULI WAWASILI ZANZIBAR Mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli umewasili Visiwani Zanzibar ukitokea Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, ambapo shughuli ya kumuaga kitaifa ilifanyika jana Machi 22, 2021. Mwili wa...
  10. U

    Nakupenda ya King Kiba hakika ni funga mwaka kweli kweli

    Ngoma mpya ya king kiba nakupenda ni hatari na nusu. Imefunika ngoma zote mwaka huu. Ni bonge moja la collabo la kimataifa ikiwa inakaribia views laki nne ndani ya masaa 18 tangu iachiwe huko YouTube. Hakika mwamba umeshindikana. Unajua kile mashabiki zako tunapenda. Yoooh ye baba bado...
  11. Thread kumi bora zitakazo funga mwak 2020.. Kuanzia tarehe 1 desemba

    Vigezo na mashart kuzingatiwa Thread lazima iwe kati ya 1dec 2020 mpaka 1.1.21 Jukwaa lolote Yenye views weng Yenye likes nyings Yenye pages nying Yenye comment nying Ni ipi??? Muda bado...tuendelee kuzitafuta Deadline ni 1.12021 Dau halipo ilA pongezi na HONGERA.. atatangaza mwenyewe...
  12. Hii ni kwa Wale waopenda kwenda na wakati

    Kama wewe upo town au sehemu yoyote ila ni muumini wa swag za kinjanja basi leo nakuletea wallet na saa ambazo zitaongeza thamani ya muonekano wako. Saa utaipata kwa sh 60000 na wallet ni sh 20000 ukitaka vyote kwa ujumla sh 80000 Dsm tunakuletea mpaka ulipo mkoani tunatuma pia. Unaweza...
  13. Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

    Baada ya kupumzika kwa siku kadhaa, mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na kampeni leo katika mkoa wa Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa. HOTUBA YA DKT. MAGUFULI ....Gonjwa hili la Corona na kilio cha Wanakenya wakiongozwa na Rais Uhuru...
  14. SOFTWARE Funga GPS kwenye magari, pikipiki yako na komesha wizi

    Habari Wadau wa Jamii Forum, Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu. Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
  15. Msijifanye / Msijidai hamjaisikia hii ' Kali ya Funga mwaka ' tafadhalini!

    “ Wasichana msiolewe na wanaume mnaowazidi umri au mnaolingana, maana wanaume huoa baada ya kuwachoka mama zao, hivyo akirudi nyumbani akakukuta unafanana na mama yake lazima ahame tu ” Bw.Alfred Luvanda - Makamu wa Rais wa shirikisho la vyama vya wachimba madini Tanzania. Chanzo Habari: ITV...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…