Mathayo 24 inatoa dalili za kubomolewa Yerusalem na Kuja kwa Yesu mara ya pili.
Walengwa wa Dalili hizo kwa ukubwa ni waovu, na wacha Mungu kwao ni kama tahadhari wasijisahau.
Dalili hizo zinatoa fursa nyingi za kibiashara. Kwa sababu Yesu alitoa agizo la kufanya biashara hadi atakapokuja, ni...