Wakuu,
Feb 6 Mkurugenzi Mkuu TCRA Dkt. Jabir Bakari alisema dhima ya serikali ni kuhakikisha jamii inanufaika kwenye uchumi wa kidigiti, uchumi ambao shughuli zote zinategemea TEHAMA, na kwamba ili tuweze kunufaika ni lazima tutengeneza jamii yenye fursa ya kutambua fursa zinazopatikana kwenye...