Tunaishi katika taifa linalozungumziwa sana kwa michezo, hasa mpira wa miguu, ambapo timu zinazochambuliwa kila wakati ni Simba na Yanga. Hii imekuwa ni hali ya kawaida, na jua linapotoka hadi linapozama, vipindi vingi redioni vinakuwa ni vya uchambuzi wa michezo pekee.
Hata hivyo, kazi...
Niende moja kwa moja kwenye mada kutokana na uwepo wa degree nyingi mtaani bora kuwe na mfumo mpya wa elimu kutokana na kanda husika kutoka primary hadi high level.
Kwa mfano watu wa Mwanza wawe na silabasi yao inahusu uvuvi na uchumi wa blue toka shule ya msingi kama usafirishaji wa majini...
WAKINA MAMA WAJASIRIAMALI WA DODOMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA FURSA ZA KIUCHUMI
▪️Wajipanga kujiimarisha kiuchumi kwa fursa za kiuchumi kwa fursa zilizopo Dodoma.
▪️Wajipanga kujenga Maduka ya kibiashara na eneo maalum la uwekezaji
▪️Wampa tuzo Mbunge Mavunde kwa mchango wake kwa wakinamama...
Fursa za kiuchumi mkoa wa Mbeya
Habari wakuu...
Nimepangiwa Internship apo Hospital ya mkoa wa Mbeya, naomba kujua fursa ambayo zipo mkoa wa Mbeya naweza kuzifanya huku niki endelea na internship ya mwaka mmoja,kiasi changu cha pesa ni milioni mbili ivi.
Wadau hamjamboni nyote?
Waislamu wa madhehebu ya sunni ni asilimia kumi ya jumla ya wakazi wote wanaoishi nchini Iran.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali Waislamu hao wa sunni wanabaguliwa na kutendewa vibaya wakihesabika kuwa raia daraja la pili huku wakinyimwa fursa ushiriki kisiasa, kielimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.