gachagua must go

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Tanzania tusifanye Nchi yetu kuwa Kampuni kama Gachagua alivyouchambua Mkataba wa Kugawana share za uongozi Nchini mwake!

    Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania Jirani zetu ni mbumbumbu sana Mlale Unono 😀
  2. chiembe

    Jana tu wananchi walikuwa wanalisema "Rutto Must Go" leo wabunge wanaimba "Gachagua must Go. Kuna haja ya siasa za Afrika kudhibitiwa na dola

    Nathan ni sahihi siasa za gulioni zikadhibitiwa ili zisiathiri usalama na utengamano wa nchi. Ndio maana China, Urusi, Tanzania zina siasa zenye mtangamano. Mambo ya siasa za gulioni (demokrasia iliyopitiliza) yakiruhusiwa, yanaitoa nchi kwenye mstari. Ndio kinachotokea Kenya, wananchi...
  3. M

    Siasa za Kenya ni za kushangaza sana

    Siasa za Kenya kuna wakati zina shangaza sana sasa sijui ni kusalitiana au vipi? Bunge la Kenya linataka kumkong'oa Naibu wa Rais wa Kenya Rigadhi Gachagua. Naibu Rais huyo wa Kenya anakabiliwa na tuhuma za kuendeleza ukabila kwa watu wa mlima Kenya pia kutokuelewana na Raisi William Ruto...
Back
Top Bottom