Listen to Lady Gaga - Garden Of Eden
Gaga invokes MDMA, nine-inch stilettos, and some good old-fashioned blasphemy, envisioning the site of original sin as a warehouse rave with God in the DJ booth.
But “Garden of Eden” saves its best trick for last: a mechanized, squelching...
Habari wakuu
Kwa wanaopenda viti vizuri basi viti hivi vitakufaa Sana kwa ajili ya bustani yako au baraza yako.
Bei ya kuuzia ni Shilingi 120,000/-
Vipo Dar Es Salaam ila popote unaweza kutumiwa vikakufikia.
Karibuni
The Garden of Vitality: Cultivating Health in a Fast-Food World
Imagine a world where the average American consumes over 1,000 pounds of processed food each year. Now stop imagining – because that's our reality. This staggering figure isn't just a number; it's a stark reflection of our...
Mvua ndio hizo wadau, usiache shamba lako au nyumba yako ikae kinyonge tuone ''DANI GARDEN"
Tunauza Miche mbalimbali ya matunda kama miembe, mipera, michungwa, milimao, ndimu n.k yote imefanyiwa budding( ya muda mfupi).
Pia tunauza MAUA mbalimbali yakupendezesha nyumba yko bila kisahau miti...
HEBU TUZUNGUMZE HILI, ILE BUSTANI YA MNAZI MMOJA (Kwenye Mnara wa Uhuru)
Pale Dar es salaam hususan City Centre i.e Kariakoo, Mnazi Moja. Kwa haraka haraka hakuna sehemu mfano wa Garden ya watu walau kuweza kupumzika from mihangaiko na mizunguko ya mjini. Hakuna pia open space ambayo mtu...
Nimetoka mishe mishe zangu huko baada ya safari nikaulizia wapi naweza kupata nyama/kuku choma wapambe wakaniambia wahi City Garden, iliyopo sehemu zamani maarufu kama Mafiati.
Pamoja na kabaridi nikaagiza bia baridi na kabla hata sijamaliza glasi moja, sahani ya kuku hiyoo. Kuingiza jino tu...
Wakuu njooni, kuna mtu hapendi kuishi nyumba safi nzuri na salama?
Nyumba ni nyumba hata iwe chumba cha kupanga. Binafsi huwa naandaa home tips zinazogusa nje na ndani ya nyumba, sittingroom, kitchen area, Washrooms/Maliwato, bedroom. Basi karibuni nitakuwa naziweka hapa pia kama unayo unaweza...
Ndugu wadau nimeleta uzi huu ili mimi na wale wote wanao ifahamu vizuri hii fursa. Maana kila kukicha kuna sherehe kuanzia birthday mpaka harusi na mikutano.Nina maswali kadhaa;
1. Ukubwa(sq metres) za ukumbi unao beba watu 100.
2. Parking itakayo takiwa kuachwa kwa angalau ukumbi au garden...
Haiingii Akilini nililishuhudia likibomolewa mwaka 2014 cha Kushangaza hadi leo mwaka 2022 lipo vile vile na kama Mwenye Jengo kaamua Kulisusia au Mamlaka nayo imeamua Kulisusia.
Tafadhali Mamlaka husika ama mumwambie mwenye Jengo alijenge upya au kama sasa lipo chini ya Mamlaka basi...
Tajiri ambaye pia ni Mmiliki wa Rose Garden Dodoma na ukumbi wa sherehe wa Kikimanj Ndugu Fredy Sam amefariki Dunia jana usiku akiwa anapatiwa matibabu kwenye hospitali ya Aghakan Jijini Dar es salaam.
Bwana Fredy alifikishwa hospitalini hapo wiki tatu zilizopita akiwa anasumbuliwa na pressure...
Kama unatafuta mafundi wa garden/bustani nzuri na zakuvutia kwaajili ya majumbani,maofisini,shuleni,hotelini n.k tutafute kwa namba za simu 0687239674,0717580898 WhatsApp/calls popote tunafika Tz kwa Sasa tupo Dar es salaam..na Bei zetu ni nafuu.
Habari wadau wa ujenzi na makazi!
Kichwa cha habari kinajieleza kwa ufasaha, kama una utaalam wa kutengeneza garden, nicheki, tufanye biashara ya makubaliano.
Pana sehem yenye makazi ndio watu wanaanza kuhamia na kuna opportunity kubwa ya business.
Nairobi County Government in Kenya has approved the US $65m Garden City housing project eight months after it was mooted. Mi Vida chief executive Chris Coulson confirmed the report and said construction of the first 208 units starts immediately. “We finally got our approval from the county...
#Gardenia89tz
Huduma ya utunzaji wa Bustani na Usafi zinaendelea.
Kwa wenye uhitaji wa vijana wa Bustani, shamba boy na Usafi wanapatikana.
Piga 0711383998
Pugu,DSM
For garden and cleaning services
Planning✔maintenance✔ clearance✔lawn care,✔outdoor cleaning,✔gutter cleaning✔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.