call:
Price/bei 22,800,000
Hotline: 0695022051
SUBARU FORESTER FOR SALE (EER
Cc 1990
Year 2012
mileages 51325km
Automatic
Adroid radio/bluetooth
Full Ac
Clean interior
Forg lights
New four tyres
GARI NZURI YA JUU✅✅
AUDI Q5 S-LINE EDITION
YEAR:2013/24
ENGINE CAPACITY: 1,990
COLOUR : BLACK
MILLEAGE : 62k
PETROL ENGINE
PRICE : 55m plus free regstration
AUTOMATIC TRANSMISSION, SUNROOF,
SPORTS RIMS,LEATHER SEATS,STEARING OPTIONS,WINKERS,
CAR IN SUPER MINT CONDITION.
Nauza gari yangu aina ya Subaru Forester(Non turbo) ya mwaka 2011.
Bei 15m.
Gari ipo Dar es Salaam, haina tatizo lolote.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane: 0752357722
Habari zenu
Nauza Toyota Harrier yenye maelezo haya:
1. Jina: Toyota Harrier
2. Modeli na: MCU30
3. Aina ya bodi: Station wagon
4. Uwezo wa injini: 2490cc
5. Mwaka wa kuundwa: 2003
6. Rangi: Nyeupe ya kufififia
7. Saizi ya rims: 20' ya aluminiam na matairi yamefungwa mapya mwezi Disemba, 2023...
Maker: Nissan
Model: Dualis
Body Type: Station Wagon
Color: Black
Year of manufacture: 2007
Engine Capacity: 1990
Fuel Used: Petrol
Imported from: Japan
Asking price: 16m
Previous Owners: 0
The price is Negotiable,
Karibu tufanye biashara.
Gari ya Toyota Land Cruiser Lexus HDJ81 ya Mwaka 1996 - Inayo Turbo na Inatumia Diesel, Mmiliki wa Kwanza, Hali Nzuri.
Asking Price: TZS 28,000,000
Muhtasari:
Hapa ni gari ya Toyota Land Cruiser Lexus LX 450 LC/ 80 ya mwaka 1996, inayotumia turbo na mafuta ya diesel. Ni stesheni wageni yenye...
Gari inauzwa bei TSH.21,000,000/-TU ipo kwenye hali nzuri sana ilikua inasafirishiwa mikate tu ,mwenyewe kapatwa na shida ya ghafla anauguliwa ,ukihitaji kuiona ipo maeneo ya kigamboni maelezo zaidi mawasiliano,0768496151/0777496161.
Nissan march
Top speed 200
Cc 1400
Bei 5.5 million
BIMA IPO
HAIDAIWIII
Sound option on steering
Full ac na full file
Gari haina changamoto yoyote ile ya ufundi
Ipo dar es salaam , sinza
0784020604
Altezza Lexus
Engine beams 2000
Bei million 4.6
Full ac na document
Gari haina kipengele chochote kile, ipo Dar es salaam.
Nicheki: 0784020604
Maongezi kwenye gari tafadhali.
Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.
Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa.
Make: Eicher
Mode: truck
Model number: MC2B6
Year of manufacture: 2017
Engine Capacity: 3298
Fuel used: Diesel
Seating capacity: 3
Mileage: 15868
Price 32 Millions
Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.