Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha...
Wakuu habari,gari yangu aina ya spacio new model inasumbua,inakosa nguvu kabisa hasa engine ikipoa yaani ukiziima kwa muda mrefu alafu ukija kuiwasha inasumbua kwa kuwa inakuwa haina nguvu kabisa hata kigingi kidogo tu cha mlima kinashindwa kupanda
Lakini engine ikipata joto huwa inakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.