gari la lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza wajumbe wa NEC alioongoza nao ziarani mkoani Mwanza na wanachama wa chama hicho mkoani humo wamemchangia Shilingi Milioni Tano Makamu Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA, Tundu Lissu ili kufanyia matengenezo gari yake. Pia...
  2. M

    Michango ya kununua gari la Lissu ilikuwa ni Utapeli. Kiko wapi..?

    Tuliposema mchango wa Lissu ni utapeli wa kuzima ishu yake ya kuomba Gari kutoka kwa CCM watu waliona ni jambo la uzushi tu. baada ya kuvuja taarifa ya Lissu kuomba Nissan Y622 walikuja na kampeni ya michango ya kumnunulia Lissu gari jipya la kuzima ishu ile ionekane ni uzushi. Taarifa ni...
  3. and 300

    Mchango ununuzi Gari la Lissu umefika kiasi gani?

    1. Makamu Mwenyekiti aliomba mchango wa V8 mpya. Je imefikia kiasi gani? Usikute akaunti ni ya Mwenyekiti na hakuna uwazi wa kujua kiasi cha michango. 2. Itafika sehemu Makamu Mwenyekiti nae Njaa itamzidi atimkie CCM akale mema ya nchi, mtamlaumu Nani?
  4. Erythrocyte

    Michango ya Gari Jipya la Tundu Lissu yazidi kusonga mbele, Vigogo waanza kutoa vitita vizito

    Mimi sitaki kusema mengi, jionee mwenyewe Pia soma: Watanzania wapendekeza Gari la Tundu Lissu lipelekwe Makumbusho ya Taifa, Mwenyewe amshukuru Mungu kuwa hai hadi leo CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi
Back
Top Bottom