Daah baadhi ya hawa wenzetu ni changamoto sana kwenye utunzaji vyombo vya usafiri hasa gari ya nyumbani.
Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.
Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.
Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.