gari la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Pre GE2025 Mbunge Musukuma atumia zaidi ya Tsh bilioni 1 kununua ambulance, gari la Polisi na kujenga kituo cha Polisi Geita Vijijini

    Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Musukuma, leo Machi 6, 2025, ameonesha magari 10 ya kubebea wagonjwa pamoja na moja kwa ajili ya Jeshi la Polisi, ambayo atawakabidhi wananchi wa jimbo lake ili kuboresha huduma za afya na usalama wa jamii. Musukuma amesema magari hayo yatanufaisha wananchi wa...
  2. The Sheriff

    Marekani: Afisa wa polisi asimamisha gari la polisi kwa kuzidisha mwendo

    Huko Florida nchini Marekani afisa mmoja wa polisi amezua gumzo baada ya kusambaa kwa video yake inayomuonesha akimsimamisha afisa mwingine wa polisi kwa kuendesha gari kwa spidi kali. Mazungumzo kati yao yalikuwa hivi: "Nini?" aliuliza afisa huyo baada ya kushuka kutoka kwenye gari la polisi...
Back
Top Bottom