gari la wagonjwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    RC Chongolo akabidhi gari la Wagonjwa, apongeza maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya Momba

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe.Daniel Chongolo, amepongeza maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Momba iliyopo katika Kata ya Chitete, akibainisha kuwa licha ya kasoro ndogo zilizojitokeza, majengo yaliyojengwa ni mazuri na yanaonesha matumizi mazuri ya rasilimali. Alisema hayo wakati wa...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Babu Tale awakabidhi Wananchi wa Kata ya Ngerengere gari la kubebea Wagonjwa

    Mbunge Babu Tale ameandika "Mapema leo tarehe 23 Desemba, 2024, tumemaliza kilio cha muda mrefu kilichokuwa kikitokana na kukosekana kwa Gari la kubebea wagonjwa katika Kata ya Ngerengere. Ninamshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kutupenda wana Morogoro kusini mashariki. Afya ni moja ya...
Back
Top Bottom