Kamanada anatakiwa kuwa jasiri
---
Freeman mbowe akiomba hasira za vijana wa kenya iwafikie Watanzania
Akiwa kwenye mkutano huo wa kisaisa wa CHADEMA Mbowe amesema:
“angalia wakenya, watoto wana hasira na viongozi, kuanzia rais , makamu wa rais, mawaziri, wabunge. Kenya leo wabunge wanajificha...