Baadhi ya nchi "zimejizatiti" kwa silaha mbaya na hatari zinazolenga jeni (Vinasaba) za binadamu, shirika la juu la kijasusi la China lilidai Jumatatu. Ni mara ya kwanza shirika la serikali ya China kutaja tishio kama hilo hadharani.
Katika chapisho kwenye akaunti yake rasmi ya WeChat, Wizara...