genius

A genius is a person who displays exceptional intellectual ability, creative productivity, universality in genres, or originality, typically to a degree that is associated with the achievement of new discoveries or advances in a domain of knowledge. Geniuses may be polymaths who excel across many diverse subjects or may show high achievements in only a single kind of activity.There is no scientifically precise definition of a genius. Sometimes genius is associated with talent, but several authors such as Cesare Lombroso and Arthur Schopenhauer systematically distinguish these terms. Walter Isaacson, biographer of many well-known geniuses, explains that although high intelligence may be a prerequisite, the most common trait that actually defines a genius may be the extraordinary ability to apply creativity and imaginative thinking to almost any situation.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Ni kwanini ma genius wengi wa mambo ya computer wana changamoto ya ugumu wa kuchangamana na jamii / social skills ?

    Mark Zuckbereg - Facebook, Instagram, Whatsapp Bill Gates - Windows, Xbox, n.k. Elon Musk - Starlink,,cybertuck, n.k. Steve Jobs (RIP) - iPHONE Sam Altman - Chat GPT n.k. Ni nini kinachochangia hali hii? Je, ni hulka yao au ni mazingira wanayokulia? Je, kuna uhusiano nakazi...
  2. Kitabu cha Core Genius by Joel Nanauka

    Core Genius ni kitabu kinachotufundisha jinsi ya kugundua na kutumia kipaji chetu cha kipekee ili kufanikisha maisha yetu binafsi na ya kitaaluma. Joel Nanauka anafafanua kuwa kila mtu anayo “Core Genius,” yaani uwezo wa kipekee ulio ndani yetu ambao, tukiuendeleza, unaweza kutufikisha kwenye...
  3. Hauhitaji kuwa 'genius' kujua Simba ni bingwa msimu wa 2024-25

    Kuna watu wanashupaza shingo zao hadi zinakaribia kukatika na wengine wanajipa matumaini hewa kuwa labla katimu kao ambako kanaenda kama gari bovu kanaweza kuchukua ubingwa wowote msimu huu. Huku ni kujipa magonjwa ya moyo na sonona bila sababu ya msingi. Niwatoe matumaini wale wote wenye...
  4. Elon ni genius sijawahi ona ulimwengu huu. Aliwekeza takribani dola milion 118 kwenye kampen za Trump ila ndani ya siku moja tu kapata dola billion 26

    Elon Musk ni kichwa sana yule jamaa. Yeye ndie investor mkubwa kwenye rally ya Trump na inasemekena kwa ujumla aliwekeza dollar million 118. Lakini baada ya Trump kushinda utajiri wa Elon ambae kwa sasa ndio tajiri namba moja umeongezeka kwa dollar billion 26 ongezeko hilo likitokana na...
  5. Kama ungekuwa na akili ungezitumiaje?

    Hebu jielezee jinsi ambavyo akili zako huwa unazitumia. Kila mtu ana akili pengine matumizi sahihi huwa yanapelekea uwezo wa akili kuongenzeka. Kama mimi ndie ningekuwa nimeulizwa swali kama hili pamoja na kwamba tayari akili ninazo lakini ningejieleza ili kuthibitisha kuwa nina akili na...
  6. Suma Genius " Vituko Uswahilini"

    HISTORIA FUPI YA MSANII SUMA " G" A.K .A SILAHA MANENO KIPAJI HALISI KUTOKA USWAHILINI... Kiukweli mimi kama "suma G" katika industry ya Muziki wa Bongo fleva wimbo wangu wa kwanza kunitambulisha kwenye ramani ya Muziki wa Bongo fleva, wimbo huo ulikuwa unajulikana kwa jina la " vidonge vyao"...
  7. B

    Genius JiniX66 Bonge la msanii

    Huyu amemshirikisha Jay Melody katika ngoma yake kali FAR AWAY .Mwanzoni nilijua ni Mnaija mpaka nilipo mgoogle ndo nikajua m TZ.Nilishangaa sana.Kilichonishangaza zaidi ni mshamba wa kuvaa kama Marioo ! Nikashangaa zaidi inakuwaje Jay Melody anaruhusu hilo ? Sasa alieshirikishwa ndo kapendeza...
  8. Namfuatilia sana Chid Benz na hasa Interviews zake mbalimbali na nilichoguandua Jamaa ni Genius sema dunia ya Walimwengu imemuwahi tu

    Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake ambaye unaweza hata usiyapate kutoka kwa PhD Holders, Maprofesa na Wasomi wengine nchini. Kama akitokea...
  9. Usikute Elon Musk sio genius ila tu kawekeza kwenye project za akili nyingi

    Kuna watu hufikiria labda mtu kufanikiwa na kuwa Tajiri sana ni akili na upepo ndio uliomfikisha pale kumbe nyuma kuna watalaam wengi waliomuuzia wazo akalikubali akatia hela na kweli outcomes ikaja. Kwa mfano kina Bahkresa wao wametulia tu makampuni yana management nzuri yanakua. Yeye haumizi...
  10. Huyu jamaa ni Genius

    Kwa muziki wa bongo Diamond platinum anajua kucheza na mindset za watu ona sasa Sarah wa Kamwambie anavyotrend behind the scenes unaweza kuta ni tukio la kusadikika ila tayari watu washakuwa brainwashed.
  11. Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

    Kwa mimi binafsi naona 1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik 2. Leonardo wa Cheka Tu Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering. Kwenye interview zao utagundua wako smart...
  12. R

    Genius ni mojawapo wa aliens wa kificho?

    Salaam, Shalom! Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses? Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine? Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini? Kwanini...
  13. Magufuli alikuwa Genius Scientist

    Ushauri wake kuhusu chanjo umeendelea kuwaumbua walio hadaa umma kuwa chanjo ya Corona ni muhimu sana. Haya sasa visa kadhaa vya watu kuganda damu vimeanza kutokea chanzo kikitajwa kuwa ni chanjo. Tunapo elekea wanasayansi watakuja na chanjo ya kuwazimua wote waliochanjwa ili wasipate madhara...
  14. Tanzania standard za kuitwa genius au akili kubwa ziko chini sana

    Tanzania ni moja ya nchi mtu anaweza fanya jambo la kawaida sana akaitwa genius au akili kubwa Mtu anaweza copy kitu wikipedia au kitabu chochote alafu akaongeza ongeza na kingereza chenye misamiati isiyokua na formula basi akaitwa genius Tanzania na afrika kwa ujumla standard zetu za mambo...
  15. Only Geniuses can Solve this Puzzle withinin 60 seconds!

    Ukiweza kusolve hii puzzle bila kupepesa macho ndani ya Sekunde 60 basi wewe ni Genius..... Chemsha ubongo
  16. Juma Nature ni Genius: Fahamu kwanini Juma Nature hujibu maswali tofauti na alivyoulizwa na Sababu za kiroho kwanini Juma Nature alianzisha TMK

    Part one: Kwanini Juma Nature hujibu baadhi ya maswali tofauti na anavyo ulizwa? Juma Nature ni akili ya kesho. Unahitaji kutumia akili nyingi sana kumuelewa Juma Nature. Ukijaribu kumuelewa Juma Nature kwa kutumia akili ndogo basi hutomuelewa maisha yako yote. This is because, Juma Nature...
  17. Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

    Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu. "Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka...
  18. Mwanafunzi anaetumia nguvu na muda mwingi kujifunza kitu kile kile kwa msaada mkubwa ili aelewe, akifaulu ni Genius?

    Maana nashangaa nashindwa kuelewa watu wanawaitaje hawa watu magenius na utawalinganisha vipi na wale ambao wanaweza kujifunza haraka bila kurudia rudia na wana msaada mdogo wa material na walimu. Unakuta mwanafunzi topic 1 tu anaiwekea nguvu kubwa mnooo! Yaani anairudia rudia sana ili iwe kama...
  19. Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

    Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari. Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda...
  20. Bright and Genius Editors wanatafuta mtaalam wa ku-design website nzuri

    Kwenu marafiki; Bright and Genius Editors wanatafuta mtaalam wa kudesign website nzuri. Kama wewe ni mtaalam wa kudesign website tafadhari tu PM.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…