gentamicine

  1. Loading failed

    Naombeni hekima zenu; Natafuta mtoto na mke wangu hajafanikiwa kubeba ujauzito

    Ndugu wana Jf natumaini mko salama ndugu zangu. Ndugu zangu katika vipindi vilivyopita ijulikane nilikua natafuta mke na Mwenyezi Mungu amenijalia nimepata mke na nimeoa. Ndugu zangu mimi na huyu mke wangu tulikua tunatafuta mtoto katika siku zake tulizo amini ni siku za hatari ila cha ajabu...
  2. General Nguli

    Mambo 6 muhimu ya kujiuliza unapomaliza mwaka 2023 na kukaribisha 2024

    Habari na Poleni na majukumu ya kilasiku. Let go to the Box. Kuna maswali ya sio pungua sita (6)ya kujiuliza.Ukipata majibu na kuyafanyia kazi basi Utafanya mwaka wa 2024 uwe mzuri kwako na wa Mafanikio. TWENDE KAZI 1.What is the high light of the Past year Umejaribu kuwaza maisha ulio ishi huu...
  3. M

    Hawa Simba wasije kusababisha mishahara ya mwezi huu kuchelewa

    Mimi ni Mwanayanga kindakindaki ila hii kasi ya Simba kumfunga Horoya huku kila hili lilies sawa na milioni 5 wasije kusababisha mishahara ya mwezi huu ikachelewa. Simba punguzeni speed msije kumlaza njaa Mwl. Mpwayungu Village
  4. V

    Former CEO Barbara yuko wapi?

    Hakika huyu alikuwa CEO wa shoka. Enzi zake Simba kulikuwa na vibe sana na mafanikio tele. CEO wa sasa hata jina lake halijulikani. Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
  5. Sanyambila

    SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

    Wanajamii habari! Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM. Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine...
  6. Sanyambila

    Timu za taifa ni za Dar Es Salaam sio za watanzania wote? onesheni mpira na wa vijijini waone

    Habari zenu wananchi wenzangu. Nianze kwa kusema nasikitishwa saana na uongozi Wa Mpira kwa kuto tumia TELEVISION YA TAIFA inayo patikana Karibu ving'amuzi vyote katika maonyesho ya MPIRA HASA TIMU ZA TAIFA, Waoo wamempa Azam , siyo kila mtanzania anauwezo Wa kununua king'umuzi hiki na...
Back
Top Bottom