MLELE
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye orodha ya mpiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.
Mhe. Pinda amejiandikisha Jumamosi katika mtaa wa...