Wataalamu wa masuala ya gesi na mafuta, ninaomba kupata uelewa zaidi wa hii taarifa niliyoiona Worldometers inayosema kuwa imebaki miaka miwili ili gesi ambayo imegundulika nchini Tanzania kuisha.
Je hii ni taarifa tunayotakiwa kuwa na wasi wasi nayo ? au ni mambo ya kawaida tu na kuna gesi...