mama mongela anaongea sasa bungeni, na amependekeza ile mitambo ya richmond/dowans itaifishwe ili itusaidie wakati wa dharura.
mimi namuunga mkono, kuwa wasiruhusiwe kuichuka hiyo mitambo, ikae hapo kama guarantee wakati tunawadai mapesa waliotuchukulia kwa mkataba feki
Soma
Uzi maalum wenye...