Japo ndio kiumbe mwenye akili kuliko wenzake hapa Duniani.
Ila kwa maisha yake yote anagharamia.
Lazima, alipie maji, nyumba, umeme, mavazi, chakula, usafiri, matibabu , mapenzi n.k.
Yaani hata Konokono kamshinda maana ana nyumba yake na halipii kodi.