The Ghetto Kids – formerly Triplets Ghetto Kids – are a dance/music group founded in 2014 by Daouda Kavuma composed of children from the Katwe slums in Kampala, Uganda. They have appeared on major platforms across the world – featuring in French Montana's "Unforgettable" video and performing at a World Cup 2022 event in Qatar.
Kundi hilo la Watoto 6 wenye miaka 6 hadi 13 limepata upinzani mkali kutoka kwa Mshindi wa kwanza #ViggoVenn kutoka #Norway akifuatiwa na #LillianaClifton pamoja na mshindi wa 3 mwanamazingaombwe #CillianOConnor.
Licha ya kushindwa, #GhettoKids walifanikiwa kuweka historia ya kupewa heshima ya...
Kundi hilo linaloundwa na Watoto wenye vipaji vya kucheza na kuimba kutoka #Uganda limefanikiwa kuingia Fainali za mashindano ya vipaji ya #BritainsGotTalent ambayo kilele chake ni Juni 4, 2023.
Waliofanikiwa kuingia Fainali ni #MusaMotha, Amy Lou, #ViggoVenn, Olivia Lynes, #GhettoKids, Travis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.