The Ghetto Kids – formerly Triplets Ghetto Kids – are a dance/music group founded in 2014 by Daouda Kavuma composed of children from the Katwe slums in Kampala, Uganda. They have appeared on major platforms across the world – featuring in French Montana's "Unforgettable" video and performing at a World Cup 2022 event in Qatar.
Kundi hilo la Watoto 6 wenye miaka 6 hadi 13 limepata upinzani mkali kutoka kwa Mshindi wa kwanza #ViggoVenn kutoka #Norway akifuatiwa na #LillianaClifton pamoja na mshindi wa 3 mwanamazingaombwe #CillianOConnor.
Licha ya kushindwa, #GhettoKids walifanikiwa kuweka historia ya kupewa heshima ya...
Kundi hilo linaloundwa na Watoto wenye vipaji vya kucheza na kuimba kutoka #Uganda limefanikiwa kuingia Fainali za mashindano ya vipaji ya #BritainsGotTalent ambayo kilele chake ni Juni 4, 2023.
Waliofanikiwa kuingia Fainali ni #MusaMotha, Amy Lou, #ViggoVenn, Olivia Lynes, #GhettoKids, Travis...