Fuatilieni hiyo interview hapo chini.
Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza.
Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana, na hivyo kuharibu maudhui ya kipindi, na mjadala.
Mtangazaji anajiita mchambuzi wa siasa, lakini...