gmail

  1. D

    Msaada kuhusu gmail

  2. Forgotten

    Google (GMail) imekuwaje?

    Google siku hizi imekuwa takataka. Wakati wanajaribu kuboresha ulinzi kwenye data za mtumiaji wa huduma zao kumbe ndiyo wanaharibu kabisa. Simu yangu iliharibika, sasa account yangu ya GMail ndiyo ipo kwenye hiyo simu. Leo nimebadilisha simu lakini cha ajabu siwezi ku-access account yangu...
  3. I

    Naomba msaada wa kurecover Gmail yangu

    Habari za Asubuhi ndugu zangu, Najaribu kulog in kwenye Gmail yangu ya zamani lakini sikubuki password na namba ya simu niliyo tumia zamani haipo Tena kwa hiyo nikiomba rest PIN NUMBER inashindikana Nifanyeje? Naomba msaada.
  4. R

    Gmail sign in problem

    Nikitaka kuingi/ku sign in Gmail ya shule bussiness inaniingiza kenye g mail yangu. Inakataa kunietea g mail ya shule. Nifayeje? hata ki sign out, ni sign in inanpeleka moja kwa moja kwenye g mail yangu help please
  5. Until_The_End

    Msaada: njia ya kuforwad automatic email kutoka gmail kuja sms za kawaida

    Habari wakuu: Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS. Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa. Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo...
  6. Mufti kuku The Infinity

    Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

    Thread was deleted
  7. G M S

    Majina yamepotea ghafla katika gmail

    Habari wadau ,, naomba niende kwenye mada,, ni siku nne Sasa majina mengi yametoweka ktk sim yangu hasa yaliyokuwa saved ktk email nimepambana kila namna nimefeli msaada pls"
  8. Living Pablo

    Msaada wadau nahisi kuingiliwa kwenye Google account yangu

    Wadau habari za saa hizinatumai wazima wa afya kama kuna mgonjwa augue pole. Niende niende moja kwa moja kwenye mada yangu Ni hivi yaani kila nkiingia kwenye Gmail yangu upande wa social naona sms kibao kutoka Facebook ya mtu mwingine tena kila siku mwanzo nilikuwa nafuta nikiziona lakini now...
  9. Jibebe Inc

    Zijue faida za kutumia Email za kampuni na siyo Gmail / Yahoo

    Matumizi ya email za kampuni (Corporate Business Email Address) ni moja ya njia rahisi kabisa ya kutangaza biashara yako kwa wateja. Kitu ambacho nilikuwa ninajiuliza sana, inawezekana vipi mtu akatuma taarifa za kampuni kwa kutumia email za gmail? Utamuhakikishia vipi mteja kama anadili na...
  10. Analogia Malenga

    Huduma za Google, kama Gmail na YouTube zimeonekana kusumbua kwa baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania na India

    Mtandao wa TechCrunch umeripoti kuwa huduma zinazotolewa na google kusumbua kwa baadhi ya nchi hasa nchi za Ulaya, Uingereza na India. Huduma za kampuni ya Google kama Gmail na Youtube zimeonekana kutofanya kazi. Hata hivyo imeripotiwa kuwa google wapo katika harakati za kurudisha mtandao huo...
  11. Izzi

    Uzi maalum wa kujuzana namna ya kufanya chochote

    Unataka kujua/ kufahamu namna ya kufanya jambo fulani? Au unafahamu namna ya kufanya jambo fulani? Karibu tushirikiane, tupeane ma-tricks na solutions kwaajili ya kurahisisha maisha. Na mimi naanza kama ifuatavyo: NAMNA YA KUTUMIA BARUA PEPE (eMail) MOJA KWA AKAUNTI NYINGI ZA TWITTER. Kama ni...
Back
Top Bottom