goba center

Goba (Kata ya Goba in Swahili) is an administrative ward in Ubungo District of the Dar es Salaam Region in Tanzania. The Wazo, Mbezi Juu, and Makongo wards of Kinondoni MC border the ward on the north and the east, respectively. The ward is bordered by Saranga to the south and Mbezi to the west. According to the 2012 census, the ward has a total population of 42,669.

View More On Wikipedia.org
  1. Ms Billionaire

    KERO Barabara ya Goba Tegeta A/Kulangwa bado inatia mashaka mvua zikianza school bus zinapita sehemu hatarishi

    Habari ya leo wadau. Salamu kwa Rais Samia. Mimi ni Mwanachi wako mkazi wa Goba mwaka wa 12 huu. naleta malalamiko kuhusu njia ya Tegeta A iliyoungana na Kulangwa Nimeishi huku miaka mingi na changamoto yetu kubwa ni barabara. Nilileta malalamiko yangu miezi michache iliyopita kuhusu barabara...
  2. maishapopote

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana! UPDATES: Mtuhumiwa baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama dakika mbili kwa...
Back
Top Bottom