gobless lema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lema amjibu Wenje kuhusu Join The Chain Asema ni muongo

    Fikiria anakuja mtu anayetaka kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara, Ezekia Wenje huyo maana yake ni kwamba Mwenyekiti akiwa hayupo huyo ndiye anakuwa Mwenyekiti wa chama taifa. Taswira ya mtu muongomuongo hivi, anayebebwabebwa na watu wengine kama kina Abdul..kimsingi ndiyo maana nilisema...
  2. Pre GE2025 Lema: Sitagombania ubunge Arusha mjini

    Wakuu, Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko. Pia, Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…