godown

  1. M

    Godown langu jirani kaziba njia yakuingilia,je nilifanyie biashara Gani ya uzalishaji mdogo

    Nifanye biashara Gani kwa hili godwn langu ambalo mlango mkuu wakuingil a jorani amejenga ukuta ambao siwezi kuingiza gari kubwa na hata bajaji,nipeni mawazo nilifanyie biashara Gani ambayo haitaruhusu gari kubwa na ndogo zamizigo kuingia Au nifungue kiwanda Gani kidogo
  2. Brojust

    DODOMA: Natafuta Godown kubwa lenye ukubwa wa kuanzia Square Metres 800 mpaka 1000

    Salaam; Wanajukwaa poleni na mihangaiko ya kila siku, natafuta Godown kubwa kiasi kwa ukubwa wa kuanzia Square metre 800 mpaka 1000, Nikipata maeneo ya kuanzia Nala na singida Road itapendeza sana. Mwenye Offer nzuri basi aje PM tuongee Biashara. Namba zangu 0710 782874 na 0693 784003 NB...
  3. Calyx24

    Mechanical construction( steel godown, steel hall,steel tents and car shed)

    habari zenu wakuu kutokana na changamoto kubwa zinazotokea kwa watu wengi hasa upande wa ujenzi kwa kutumia vyuma BEST MACHENICS COMPANY tumekuja na huduma inayohusisha design and fabrication ya steel structure kutoka kwa wahandisi wabobevu Huduma tuzitoazo ni, -kubuni michoro ya miundo mbali...
  4. Daniel Aloyce Daniel

    Anayejua ma godown ya pipi za jumla kwa carton carton, agent anayewasambazia watu wa maduka ya jumla au wanapochukulia wale wenye maduka ya jumla

    Ninaomba kwa anayejua eneo lililopo godown la pipi za jumla au wasambazaji wakubwa wa pipi za jumla Arusha, ambao wanahusika na kuwasambazia watu wa maduka ya jumla naomba anipe connection.
  5. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    Habari wadau, Nauza godown. Lipo mkata handeni barabara kuu irudiyo msata/pwani Lipo kilometer 2 toka mkata stand Lipo meter 100 toka barabara kuu itokayo mkata kurudi pwani Maji yapo mpaka site, eneo lina ukubwa wa square meter 7200 limepimwa lina hatimiliki- tittle deed no 1 Eneo lina jengo...
  6. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    ..
  7. Thegreatdav

    INAUZWA Kiwanja, Fremu na godown vinauzwa

    Luguruni Metres 500 kutoka Main Morogoro Road Eneo ni 25 kwa 30. Kuna Fremu tano na godown kubwa la mashine ,maji na umeme Upo . Bei inaanzia 150M .....maongezi yapo kidogo. Kwa maelezo zaidi piga 0682822649
  8. V

    Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi

    Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
  9. Mbepo yamba

    Godown inahitajika haraka

    Nahitaji godown haraka kwa maeneo ya Mwenge. Ofa Yangu ni 600000 kwa mwezi na nahitaji ndani ya mwezi mmoja pekee
  10. C

    Njia nzuri na rahisi ya ujenzi wa ghala la kuhifadhi nafaka ( warehouse / godown)

    Habarini za Leo wanajumuia? Naombeni mwenye uelewa wa njia rahisi na nafuu kwenye ujenzi wa ghala la kuhifadhia nafaka. Ningependa ushauri wa kuhusiana na vipimo, materials za ujenzi Kati ya cement blocks, steel prefabs au za kuchoma. Kwenye vipimo napenda kujua ghala dogo kabisa ushauri liwe...
Back
Top Bottom