Wasalaam
Wote tumeshuhudia bwana Freeman Mbowe akiapa kushinda uchaguzi inyeshe mvua au liwake jua.
Ukiangalia nguvu za kiuchumi za huyo mheshimiwa ni kwamba atatumia rasilimali zake kushawishi wajumbe wa kamati kuu kumchagua kwa kura za kishindo.
Ukija upande wa pili mh Lissu amelalamika...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na kutoa uchambuzi wake mfupi na tathmini yake fupi juu ya nani anakwenda kuibuka kidedea katika...
Nape kwa asili ni mtu mwenye mizaha, tabia hii imemsaidia kwingi lakini pia imemuumiza katika mambo mengi. Sio mara ya kwanza kwa Nape kutoa kauli zenye utata kuhusu ushindi wa CCM dhidi ya Upinzani Tanzania. Mwaka 2015 aliwahi kutamka kuwa CCM itashinda hata kwa bao la mkono. Mwaka 2020 katika...
Huu uzi niwakuwachana wana JamiiForums haswa wale ndakindaki wa jukwaa la siasa.
Niseme tu ukweli kushadadia kuteuliwa ama kutenguliwa kwa baadhi ya watu, humu ndani imekuwa ndio mada zinazo tambaa kwasasa. Naweza kuita ni ujinga, upuuzi ama ni uzwazwa.
jukwaa hili halifai kuendekeza mijadala...
Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, na Wateule wote wa Eais, ni wasaidizi wake Rais.
Hao wateule wa Rais hawakuchaguliwa na wananchi kwenye hizo nafasi zao bali Rais amewateua ili wamsaidie kutimiza majukumu ya Serikali. Ndiyo maana haiwezi kutokea wateule hao wakafanya yaliyo kinyume...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu.
Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo...
amavubi gfsonwin
bao lamkonogolilamkono
king'asti asprin
malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli
nape
nape aomba radhi
nape nnauye
ushindi nje ya boksi
wizi wa kura
Karma Is real mwaka 2025 kutakuwa na mgombea Urais kupitia CCM mpya, kutakuwa na mgombea Mwenza mpya kutakuwepo na timu mpya ya kampeni za mgombea Urais mpya
Nnauye Moses Nape ana kiburi cha kubebwa asahau kwa sababu mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Kwa sababu...
Wanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.
Nimenote Mhe. Nape, akilaumiwa, kushutumiwa na kulaaniwa kwa kauli yake kuhusu chaguzi zetu na ushindi wa nje ya box.
Huu ni uzi wa pongezi kumtia moyo, asilaumiwe, kushutumiwa na kulaaniwa kwa kauli yake hiyo kwasababu...
Habari Jf..
Nape Nnauye Juzi akiwa Mkoani Kanda ya Ziwa aliwaambia CCM Ushindi ni Lazima hata kwa Goli la Mkono ili mradi tu Referee apulize Kipenga.
"Goli ni Goli tu Hata Kama ni la Kuotea"
Hapa Swali la Kujiuliza Je Referee wa Mechi ya CCM na UKAWA atatuvusha Salama?, Kwa Maana Team zote...