gonjwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Unaweza kuhisi umekumbana na lile gonjwa.

    Ushawahi kuumwa homa za mara kwa mara, na kila unapokwenda hospitali kupima malaria, typhoid, UTI, n.k unaambiwa huna, unapewa dawa za kuondoa homa. Baada ya kipindi fulani unajikuta mwili haueleweki unarudi tena hospitali. Hapo sasa unaweza kudhani kuwa tayari ushakumbana na lile gonjwa. Hey...
  2. M

    Mchumba alinikwepa alivojua ana gonjwa sugu la zinaa

    Huyu Binti ni mrembo, ana asili ya uarabu. Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu. Binti anafanya kazi office flani hapo mjini. Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha kwamba naweza mtongoza na anafaa kuwa mke wangu. Kabla sijamfata niliuliza washkaji wakanambia Binti...
  3. Kwa hali hii, naweza kuwa na Ugonjwa gani?

    Nimetoka hospital jion hii wameniambia sina gono bcz ningekua nalo ningekojoa uchafu wameniambia nisubri siku saba dawa zifanye kazi. Kwasasa nina maumivu kwenye sehem ya juu ya mjubelege yaani hapa kwenye nywele za siri.
  4. Gonjwa la ngono

    Samahanini wakuu, Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana. Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa...
  5. W

    Jinsi mchepuko wangu alivyotaka kuniambukiza gonjwa la UKIMWI

    Sehemu ya 1 Mimi ni mfanyakazi katika taasisi mojawapo iliyopo chini ya wizara ya elimu iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha (Tengeru). Makazi yangu yapo jijini Arusha. Muda mrefu nimekuwa kwenye mgogoro mkubwa wa ndoa na mke wangu jambo lililonipelekea kutafuta mchepuko wa kuupooza moyo...
  6. B

    Wavuvi wakutwa na gonjwa la ajabu

    Takriban wavuvi 115 wanatibiwa katika mji mkuu wa Guinea, Conakry, baada ya kutoka baharini wakiwa na vidonda vya maumivu kwenye ngozi. "Sio ugonjwa wa kuambukiza - haiwezekani", anasema Karamba Kaba, daktari katika Hospitali ya Donka, akiongeza: "Tulisoma kwenye mitandao ya kijamii kwamba...
  7. Je, hili gonjwa lililompata mshikaji wetu ni karma au uchawi?

    Habari zenu wana JF wenzangu, Ama baada ya salam naomba nijielekeze kwenye mada husika. Kuna rafiki yang mmoja anaitwa J (nimekatiza jina lake kwa sababu ya heshima na usalama wake). Sasa huyo J na yeye anamshikaji wake ambae walipanga nae nyumba 1 mitaa fulani (jina kapuni) J aliowa mwaka...
  8. Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

    Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita. Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita Demu kapima Leo...
  9. T

    Nilivyomuambukiza mchumba wangu gonjwa la zinaa, funzo kubwa la madhara ya kukosa uaminifu

    Habari wakuu. Nimeonelea niandike kuhusu kisa hiki cha aibu ambacho sijawahi kumsimulia mtu ili wana Jamiiforums wote tuweze kujifunza madhara ya kukosa uaminifu na ku-cheat kwa mke/mume au mpenzi wako. Kutokana na changamoto ya kuwa mbali na mchumba wangu wa muda mrefu sababu ya kuwa mikoa...
  10. Gonjwa lisiloponyeka bila dawa

    Ukiachana na magonjwa ya kisaikolojia, kiakili, kimwili, kiroho na mengineyo mengi yale yanayozidi kubainika na kuongezeka siku hadi siku katika kizazi cha ulimwengu wa sasa; lipo gonjwa la muda mrefu, ambalo limedumu karne kwa karne. Gonjwa hili sugu ni kongwe kuliko magonjwa mengine baadhi...
  11. Homa ya mapafu (pneumonia): Gonjwa lililosahaulika linalowatafuna watoto. Kila Novemba 12 ni siku ya Pneumonia Duniani

    Leo ni Siku ya Homa ya Mapafu (Pneumonia) Duniani. Siku hii inaadhimishwa kila tarehe 12 Novemba kila mwaka. Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinasema ugonjwa huo uliua watoto 808, 694mwaka 2017, ukiwa unasababisha 15% ya vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano (5). WHO...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…