gono

The Gonō Line (五能線, Gonō-sen) is a railway line in Japan linking Higashi-Noshiro Station in Akita Prefecture with Kawabe Station in Aomori Prefecture, in the northern Tōhoku region of Honshu. The line stretches 147.2 km (91.5 mi) along the Sea of Japan coast with a total of 43 stations. The Gonō Line is operated by East Japan Railway Company (JR East).

View More On Wikipedia.org
  1. Nahisi huyu manzi alitaka kuniambukiza gono makusudi

    Last two weeks nilikua na miadi ya kukulana na pisi moja kali sana,lkn ghafla nafsi ikakataa kulana nae..nilivyomwambia demu ghafla akaanza kunichukia eti kwa nini nimekataa kumla nilikua namchora au? Leo demu yuko hoi kaniambia kapima kaambiwa ana gono so kaanza dozi. Nawaza hapa alikua na nia...
  2. Demu aliyeniambukiza gono kaja tena ghetto

    Huyu demu nilikutana naye haja jamvini, nikajisogeza PM kwake na zozo zogozi likaanza taratibu, tukawa marafiki tukitoka mida ya jioni kazini tunapitia K Tea Shop kupata kikombe cha kahawa na sambusa. Tuliendelea kwa wiki kadhaa, kabla sijaomba mchezo. NI yeye aliyetaka tukaangalie movie usiku...
  3. Kuna walioanza mwaka 2025 kwa kupata magonjwa baada ya kufanya mapenzi kizembe

    Poleni sana, ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe. Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi. Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela. Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari...
  4. Rafiki yangu anayependa wanawake hatimaye apata Gono

    Siku za nyuma niliwahi kuleta uzi juu ya rafiki yangu ambaye tuna-share baadhi ya idea kuhusu kazi na maisha, nilimuelezea vya kutosha kuwa yeye na nyapu ni sawa na fisi na mifupa. Hata apite wa gharama gani, ni yuko tayari kuuza hata roho ili aonje tu hata kwa nusu dakika, kwake inatosha...
  5. M

    Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

    Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu. Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA. Nini...
  6. Ilikuaje ukapata Gono mara ya kwanza? Je, aliekuambukiza ulimdhania anaweza kuumwa ugonjwa huo?

    Hebu tupeane experience. Mie gono ya kwanza kabisa nilipata mwaka 2012, na dem alonipa ni alikua kisu balaa tena chuoni na nilihangaika kinoma kumpata, sikutegemea kama angekua anaumwa ugonjwa aina hiyo kwa classy alokua anajiweka.
  7. Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    [NOTICE] May 2024 Kumekua na upotoshaji Sana katika jamii kuhusu matibabu. Pia kuna dhana ya kwamba kuna zinaa sugu, wataalamu wanakanusha. Isipokua kuna shida kwenywe diagnosis za ugonjwa, reinfection na Pia bacteria wanakua resistant na dawa ambazo zilkua awali zinatibu na SASA hazitibu tena...
  8. V

    Nina muda sijapata gono

    Well Miaka ya nyuma kidogo nikiwa A level nilipata manzi wa kizigua kwenye ndinga wakati huo kuona simu ya rangi ilikuwa msala,manzi alikuwa nayo sonny, wakati huo. Sijui ilitokea nini tukaanza kuongea ila nakumbuka tulipofika kituo watu wkale na kuchimba dawa akasema nimsubiri anakuja...
  9. M

    Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

    Mm bado ntabaki na msimamo wangu uleule kwamba hawa ndugu zetu tuliowatoa ubavuni mwetu japo ni watamu lakini pia wanatusababishia matatizo makubwa mno. HISTORIA YA KWELI Mnamo mwaka juzi mwezi wa sabasaba hizi kulitokea kadada kamoja kalinisumbua sana mungu si athumani akakubali ombi mtoto...
  10. A

    Sitosahau nilipopata Gono na UTI kwa mke wa jirani yangu

    Nikiwa nimehamia kigezi kwenye kamjengo kangu, nilikuwa naishi bado single sijapata jiko ratiba yangu naondoka zangu asubuhi naingia job narudi zangu usiku na napitia Tariano pale nakunywa vibia kazaa na kula msosi narudi home. Wikend nilikuwa nashinda home kwa shughuli za usafi majirani...
  11. M

    Kaswende na Gono noma

    Mzuka Wanajamvi! Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu. Tujiepusheni na ngono zembe!
  12. Mliopo Morogoro ni 'Chocho' gani lina 'Mademu' wazuri ila hawana Gono, Kaswende na Dally Kimoko Virus?

    Fanyeni chap kunijibu kwani nipo Moro!!
  13. K

    Aliniambukiza gono, leo anataka turudiane

    Kwema jamani? Kuna mwanamke nilikua na mahusiano nae miaka 7 iliyopita. Mimi kwa wakati huo sikuwa na mwanamke mwingine zaidi yake, so it happened akaniambukiza gono,nilivyomuambia,aliniogesha na mvua ya matusi kiasi kwamba nikaamua kumuacha tu asepe na maisha yake. So tukapotezeana kuanzia...
  14. Rafiki yangu alichepuka akapata gono, amwambiaje mkewe akapime?

    Rafiki yangu mmoja anapiga mtungi kawaida ila pia ni hardworking sana na anajali tu familia yake fresh, shida yake sometimes akipiga mtungi na anaweza kupita na yoyote then kesho anaanza kujuta. Juzi kati akapita na jimama flan hivi kitaa baada ya siku kadhaa dalili za gono hizi hapa ikabidi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…