goodluck achoma gari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    NEMC: Kuchoma gari au shehena yoyote kwa makusudi ni kinyume na Sheria ya Uchafuzi wa Ardhi

    Mjadala ulizuka baada ya muimbaji wa nyimbo za Injili kuchoma moto gari alilopewa kama zawadi na Mchungaji, ambapo baadhi ya watu walisema hilo ni kosa kisheria wengine wakisema siyo kosa kisheria. Wakili Bashir Yakub alilitolea ufafanuzi upande wa kisheria (zaidi soma hapa), lakini je, upande...
  2. Waufukweni

    Goodluck Gozbet avunja ukimya kisa cha kuchoma gari, watu waliotaka kumua, amtaja GeorDavie

    Katika mahojiano yake ya kwanza aliyofanya kupitia Gozbet Ministries ameeleza sababu ya kuchoma gari lake moto. Soma, Pia: Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck
  3. Waufukweni

    Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari alilochoma Goodluck

    Mtume kanisani kwa nabii mkuu GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari aliyochoma Goodluck Gozbert, kinachomtesa msanii huyo wa nyimbo za injili Pia, Soma: Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert
  4. B

    Wakili Bashir Yakub: Kisheria sio kosa mtu kuchoma mali yake

    SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE. Bashir Yakub, WAKILI +255714047241 MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party). Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo...
Back
Top Bottom